Aza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2010
- 1,700
- 226
huyu ameshamuacha tayari,maana kama ameshawaeleza washkaji zake hawezi muoa mke ambaye anajulikana tiyari mpenda tigo.jamani hii dunia imeingiliwa na firauni gani???
kwanini watu hawataki kuelewa madhara ya kiafya hii kitu na kiroho ndo balaa.
asioe huyu dada kabisa...ndugu wakitaka majibu awaambie wamwulize dada.
kwanini watu hawataki kuelewa madhara ya kiafya hii kitu na kiroho ndo balaa.
asioe huyu dada kabisa...ndugu wakitaka majibu awaambie wamwulize dada.