Story ya kupikwa hyo.[/Ngoja tusubiri mkuu, kama kweli kaipika itapakuliwa tu, si tumesha mtengea sahani huyo...!!?]
Wanawake mnaweza.mkiwezeshwa....
aliepiga simu ndo jasiri zaidi..
Tena jasiri kwa kumkaribisha 'mwenzie'
nyumbani kwake
hatari sanaa....
Hahaha! kweli wewe ni jirani mwema lol!Nikimwambia ajiue si ntakuwa nimemsaidia?
Jamani kuna jirani yangu ambae twafahamiana for almost three years. Kaolewa na mume wake anasoma Mkoani, so week ends anarudi home then anaenda shule. Mkewe is working in one of the big hotels in the city. Wana katoto kamoja kavulana, nadhani STD4.
As you know kazi za hotel mara nyingine anaenda night shifts. Last week her husband came from shule then at the mid night kelele zikaanza, mume akataka kumchoma mke na kisu. I was angry at him nikidhani mume analeta tatizo. Niliposimuliwa ndo nilichoka. The story is like this.
Mke alienda kuoga then simu yake ikawa inaita, mume akaicheki akaona namba haina jina. Aliprudi akamwambia simu yako ilikuwa inaita, who was calling?Mke akacheki na kusema alikuwa dada. Mume akauliza dada yupi ambae huja save no. yake/Mke aka mbelembela bila jibu la maana. Mume akahisi something s wrong. Akachukua simu akaitafuta namba hadi akaipata,akapiga kwa namba ile ile ya wife wake na akapokea mwanaume akidai huo dada ni mkewe. Katika conversations huyo jamaa akamwambia kama unabisha njoo kwangu Sinza nikuoneshe kuwa huyo ni mke wangu (mwenye mume yuko Makongo). Jamaa akaenda hadi Sinza, ile anaingia ndani analuta picha za mkewe sebuleni kwa jamaa.
Stori zikaanza, mtu na mume mwenzie, jamaa wa sinza akasema yule dada alimwambia hajaolewa, hana mtoto ila anaishi na ndugu zake, na ana mtoto wa dadake ambae alishafariki so anamlea yeye (akimaanisha yule mtoto wake). Siku nyingi amekuwa akimuomba waishi wote, ila ye alikataa kuwa anaishi na ndugu zake na analea mtoto wa marehemu dadake. Jamaa anadai kuwa ye anailea familia ya huyo dada fully kuanzia chakula, kodi ya nyumba na mazagazaga yote.
Yule mume alishba!Karudi mida ya saa saba usiku ndo akataka kumchinja yule dada. Alilia sana yule kaka, to be honest nilimuonea huruma sana. Yule mdada kwa kweli AMENIKERA SANA! Yule mume keshaondoka na alimwambia mke asimtafute popote. Sasa bibie ananiomba ushauri, hebu nisaidieni nimshaurije?
Nikimwambia ajiue si ntauwa nimemsaidia?