Ahsenti mrembo...
Mwenye macho haambiwi tazama sheikh. Kwa msaada wa JF Founder mambo yatakaa sawa tu.
Kesho ni siku yangu ya kuzaliwa.
Even much amazing ni kuwa nimezaliwa siku moja na CUTE!
Saint fulani ningependa kukushirikisha furaha hii ndugu yangu...
Happy birthday Mphamvu!
Ungejua Mphamvu ni simba mwenda pole usingesema..........Ndiyo hivyo tena mkuu dogo toka Sauzi anakula dogodogo
****.. Kwa nini unamsifia mwanaume mwenzako?
Ungejua Mphamvu ni simba mwenda pole usingesema..........Ndiyo hivyo tena mkuu dogo toka Sauzi anakula dogodogo
Really au just kizungu?
What a present bishosti? Nimefurahi kutoka sakafu ya moyo...