muhammed aboud UAMSHO leo wapo uwanja wa maisara kama ww ndo unaupenda sana muungano huu kuliko wazanzibar wote nenda kawakamate mwenyewe.
kama umetumwa na watanganyika usiku rudi kaseme ''zanzibar kumekucha wazanzibar wanataka nchi yao''
kuna watu wengine hata kusoma alama za nyakati hawajui hawata kuwa na nafasi kwenye zanzibar baada ya muungano uliojaa kero kuvunjwa kitalamu na kisomi zaidi
kama umetumwa na watanganyika usiku rudi kaseme ''zanzibar kumekucha wazanzibar wanataka nchi yao''
''JAMUHURI YA WATU WA ZANZIBAR KWANZA''
kuna watu wengine hata kusoma alama za nyakati hawajui hawata kuwa na nafasi kwenye zanzibar baada ya muungano uliojaa kero kuvunjwa kitalamu na kisomi zaidi