Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 7,685
- 12,319
Wandugu habari za leo.?
Nimeona nishare ideas na ninyi wote:
Wiki iliyopita nilifunga Internet ya smile ofisini kwangu, na kupata 10GB kama kifurushi cha kuanzia lakini ndani ya siku 3 tu,nikaona GB 7 zimeisha,na nikiangalia nilichofanyia ni cha kawaida sana,kwenye mitandao mingine kama Voda,Airtel na tigo ningetumia labda 1-2 GB,sasa najiuliza nifanyeje ili niweze kusave cost ya kununua bundle za smila ambazo ni gharama kubwa angalia hapo chini:
Najiuliza nifanyeje ili nipate intenet ya uhakika na yenye gharama nafuu zaidi.?
Kwa anayejua tafadhali niPM au nijibu hapa jukwaani.
[h=1]Data Bundles[/h] Buy as much data as you need, when you need it.
Nimeona nishare ideas na ninyi wote:
Wiki iliyopita nilifunga Internet ya smile ofisini kwangu, na kupata 10GB kama kifurushi cha kuanzia lakini ndani ya siku 3 tu,nikaona GB 7 zimeisha,na nikiangalia nilichofanyia ni cha kawaida sana,kwenye mitandao mingine kama Voda,Airtel na tigo ningetumia labda 1-2 GB,sasa najiuliza nifanyeje ili niweze kusave cost ya kununua bundle za smila ambazo ni gharama kubwa angalia hapo chini:
Najiuliza nifanyeje ili nipate intenet ya uhakika na yenye gharama nafuu zaidi.?
Kwa anayejua tafadhali niPM au nijibu hapa jukwaani.
[h=1]Data Bundles[/h] Buy as much data as you need, when you need it.
Prepaid Bundles | Validity Period | Bundle Price in TZS | Out-of-Bundle Tariffs in TZS |
---|---|---|---|
PPU (Pay-Per-Use) | Not applicable | Not applicable | 25,000/= per GB |
500MB | 30 days | 10,500/= | 25,000/= per GB |
1GB | 30 days | 19,000/= | 25,000/= per GB |
3GB | 30 days | 42,500/= | 25,000/= per GB |
10GB | 30 days | 118,000/= | 25,000/= per GB |
20GB | 30 days | 180,000/= | 25,000/= per GB |
50GB | 30 days | 375,000/= | 25,000/= per GB |