Mwembebasha
JF-Expert Member
- Dec 27, 2013
- 1,425
- 406
Tuiteni majina yoote: Nyumbu, wapumbavu, malofa, vibaka, wanywa viroba, na yooote ila Lowassa ndo rais wetu
Tuiteni majina yoote: Nyumbu, wapumbavu, malofa, vibaka, wanywa viroba, na yooote ila Lowassa ndo rais wetu
Kweli aliyoisema Slaa jana usiku STAR TV umeisikia? Amesema kwamba Magufuli alimwuzia hawara yake nyumba ya Serikali kwa bei ya kutupa, na hawara huyo hakuwa hata ni mfanyakazi wa Serikali! Ameongeza kusema kwamba yeye naye ni binadamu mwenye moyo wa nyama, hivyo kilichomuumiza hadi kumpa stress, ni kunyimwa kugombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA, ingawa alikwisha kuandaliwa hadi kupelekwa kuzuru majimbo ya Marekani. CCM, badala ya kujijenga, mnazidi kujimaliza kwa kumtumia mtu huyu mwenye stress!!!!!!
Katika.hali isiyo ya kawaidaa CCM baada ya kuona mabango ya Magufuli hayana mvuto wameamua kuyashusha na kujibu mapigo kwa kuweka mabangi yenye vijembe kwa Lowassa