Dr. Slaa, kaa chin jipange upya. Njoo kivingine
Huyu nae kesha choooka maana ukiona mtu anatupa makombora kila kuchapo bila ya kombora kulipuka na kuleta tija basi jua mtu huyo hajasomea vizuri namna ya kulipoa kombora!
Namshauri huyu padre apumzike tu kwa sasa na kazi hizi awaachie vijana kama zito, mbowe,mnyika nk...
pumba.....umekosa la kuandika.