Mpambalyoto
JF-Expert Member
- Mar 26, 2010
- 752
- 3
Suluhu ya hii kitu kila mtu alale kwenye chumba chake, mwenye kuhitaji amfuate mwenzie na akimaliza anaweza kutimua. Kulala na mtu chumba kimoja, kitanda kimoja miaka nenda rudi hata kama mnapendana kama kumbikumbi kunafifisha ufikiri. Kumbuka mawazo mengi hutokea ukilala full kujiachia