Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,618
Last edited by a moderator:
Hahahahaaaaaaaaaa, eti nini baba naniii? Wewe si saizi ya kinana ni saizi ya nani? Oh ok nimekumbuka kumbe saizi ni vident wa kupora wake za wenzio? Sawa nimekuelewa.
Dk slaa ameyasema maneno haya leo wakati akihutubia mkutano wa hadhara, katika uwanja wa shule ya msingi uwanja wa ndenge morogoro
Ofcoz, Wil Slaa si saizi ya Abd Kinana...ni ukweli usiopingika kabisa! Yaani ni mbingu na ardhi...uhai na kifo....maji na mafuta kabisa
Ofcoz, Wil Slaa si saizi ya Abd Kinana...ni ukweli usiopingika kabisa! Yaani ni mbingu na ardhi...uhai na kifo....maji na mafuta kabisa
ukimuweka wenje na Nappe pamoja, utakua umempendelea Nappe.!!
Dr. wa udini, eti mkuu wa mkoa mtwara atolewa kisa mkristu.!!
s
Jangili yeyote hawezi kuwa saizi ya slaa
umeona alivyowaumbua CUF na uliberali wao.
jamaa ni jembe CUF hawana pa kujishikiza.!
Ofcoz, Wil Slaa si saizi ya Abd Kinana...ni ukweli usiopingika kabisa! Yaani ni mbingu na ardhi...uhai na kifo....maji na mafuta kabisa
Malizia, hata mke wa babako aliiba
Nape saizi yake mikael p. aweda
Kinana saizi zake hizi hapa ten.View attachment 95990
thubutu amaliziwe ule mkono unalegea kama utumbo wa kuku
Ofcoz, Wil Slaa si saizi ya Abd Kinana...ni ukweli usiopingika kabisa! Yaani ni mbingu na ardhi...uhai na kifo....maji na mafuta kabisa
Dk slaa
ameyasema maneno haya leo wakati akihutubia mkutano wa hadhara, katika
uwanja wa shule ya msingi uwanja wa ndenge morogoro