dazipozi
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 1,137
- 106
Katika hali isiyo ya kawaida msichana 1 kutoka mkoani Kirimanjaro aliyejitambukisha kwa jina la Yusra Bakari amejitokeza hadharani kuwa anampenda Diamond kupita kiasi, na yuko radhi kuoldwa nae wakati wowote. Pia amesema huu mwaka wa tatu Diamond anautesa moyo wake.
Msichana huyo kasema ameshatapeliwa sana na watangazaji wa Kirimanjaro walio ìtaji pesa ili wamuunganishe mwisho wa siku wanampa namba feki!
Msichana huyo kasema ameshatapeliwa sana na watangazaji wa Kirimanjaro walio ìtaji pesa ili wamuunganishe mwisho wa siku wanampa namba feki!