Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 8,278
- 8,494
kwani wabunge wana kinga yoyote kisheria??, au wao wako juu ya sheria??, huyu 6 vipi!.
Tatizo la kukurupuka.... Tofautisha kati ya KINGA ya KISHERIA na KUWA JUU YA SHERIA.
Soma maelezo ya 6 utaelewa
Walimu mna kazi kwelikweli na ndo maana kuna mtu wa kwanza na wa Mwisho.