BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,507
- 11,883
Ina maana mpaka leo wewe na kikwete hamjui agenda ya bunge hili maalumu?Ufunguzi wa jambo lolote anazindua mgeni rasmi kisha watoa mada wanaendeleaRais hawezi kuhutubia Bunge kabla ya Bunge kuwa na Ajenda Mezani na Ajenda ndio itayowasilishwa na Warioba. Sasa badala ya kukosoa akina Lissu walioandaa kanuni ki Layman mnalaumu alierekebisha kosa hilo la kisheria.