frema120
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 5,099
- 1,338
Mkakati wa ccm na mwenyekiti wa bunge hadi sasa ni kuhakiki tbc inakata matangazo wakati wa uwasilishaji wa hotuba ya warioba mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya katiba, watanzania wasipate ukweli juu ya mambo waliyopendekeza katika tume ya mabadiliko ya katiba.
Kazi kwelikweli, umeona bunge sasa kilichotoke na TBC wakakata faster... asante startv.