Sitta alalamika: Tabora wabunge wote ni wa CCM lakini haina hata barabara moja ya lami

Eti huyu naye alikuwa waziri! Kama mtu alishawahi kuwa waziri na ana upeo mdogo kiasi hicho tusishangae wabunge kama Rage na wengine wakiwa vilaza zaidi. Mbunge unasimama na kusema unaunga mkono bajeti ya waziri 100% na hajasema ataweka lami jimboni kwako unategemea nini? Hawaoni wenzao wana komaa mpaka wanashikilia mshahara wa waziri mpaka miradi hiyo idhibitishwe itatekelezwa kwao? Wenzao wakikomalia miradi au wakichachamaa kwenye ubadhilifu au ahadi hewa wao wanaishia kuwazomea?
kwa kweli wabunge wa upinzani wanatupa raha sisi wanaotuwakilisha kwa kusema yale tunayotaka,wao wameishia kusifia chama chao tuu,na watakula vumbi mpaka watakapo badilika. Hawajaona Mnyika alivyo komaa na suala la maji Dar pamoja na mizengwe yote ila mwisho Rais kamwita Ikulu wajadili watafanyaje kutatua?
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Anauhakika Tabora hamna lami? Kwanza kesi yake ya Rushwa ajue tunaifaham.

Si wanajifanya wanazi wa chama wasubirie hizo lami kama wataziona.Tabora mna mbunge kama Rage mnatarajia kupata barabara za lami kweli.RAGE kashindwa hata kuiendesha club ya SIMBA.Ila msipate shida CDM TUNAKUJA NA LAMI ZITAWEKWA MPAKA KALIUA NA URAMBO YOTE
 
Si wanajifanya wanazi wa chama wasubirie hizo lami kama wataziona.Tabora mna mbunge kama Rage mnatarajia kupata barabara za lami kweli.RAGE kashindwa hata kuiendesha club ya SIMBA.Ila msipate shida CDM TUNAKUJA NA LAMI ZITAWEKWA MPAKA KALIUA NA URAMBO YOTE

Simba fukuza Rage
 
CCM imewatelekeza wapiga kura kila mbunge wa ccm yuko busy kulimbikiza mali kwasababu wameshasadiki kuwa 2015 ccm bye bye na CHADEMA inatwaa serikali rasmi.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums


Hahaaa wanalimbikza hela ili waje wanunue vijana kuwa pidgin. Kura. Dau litakuwa kubwa wanaccm wanajua idadi ya wapiga kura hata ukiwaamusha usingizini Hiyo inwasaidia KUJUA bei ya kilange mpga kura moja. Hata kwa elfu 50000 Kama kondomu!
 
Aliyekuwa Waziri wa Elimu na mafunzo ya ufundi ambaye kwa sasa ni mbunge wa viti maalum Tabora Mh.Magregth Sitta akichangia hotuba ya wizara ya ujenzi amesema ameishangaa serikali kujenga barabara za lami katika majimbo ya upinzani wakati wapinzani hawaoni juhudi hizo za serikali na kusahau majimbo ya CCM ambayo.

"Tabora wabunge wote ni CCM lakini hatuna hata barabara moja ya lami, lakini majimbo ya wapinzani mengi yana lami lakini bado hawana shukrani wanaishia kulaumu tu. Mjifunze kushukuru..."

Sasa hapa lengo lake lilikua nini hasa., kuilaumu CCM ama kuwalaumu wabunge wa CHADEMA?
 
Aliyekuwa Waziri wa Elimu na mafunzo ya ufundi ambaye kwa sasa ni mbunge wa viti maalum Tabora Mh.Magregth Sitta akichangia hotuba ya wizara ya ujenzi amesema ameishangaa serikali kujenga barabara za lami katika majimbo ya upinzani wakati wapinzani hawaoni juhudi hizo za serikali na kusahau majimbo ya CCM ambayo.

"Tabora wabunge wote ni CCM lakini hatuna hata barabara moja ya lami, lakini majimbo ya wapinzani mengi yana lami lakini bado hawana shukrani wanaishia kulaumu tu. Mjifunze kushukuru..."

Kwamaana hiyo majimbo yaliyo chini ya upinzani kuwekewa lami au maendeleo yoyote ni fadhila huku yale yaliyo chini ya CCM ni haki, sio?
 
Aliyekuwa Waziri wa Elimu na mafunzo ya ufundi ambaye kwa sasa ni mbunge wa viti maalum Tabora Mh.Magregth Sitta akichangia hotuba ya wizara ya ujenzi amesema ameishangaa serikali kujenga barabara za lami katika majimbo ya upinzani wakati wapinzani hawaoni juhudi hizo za serikali na kusahau majimbo ya CCM ambayo.

"Tabora wabunge wote ni CCM lakini hatuna hata barabara moja ya lami, lakini majimbo ya wapinzani mengi yana lami lakini bado hawana shukrani wanaishia kulaumu tu. Mjifunze kushukuru..."
ccm ndivyo wanavyotaka wewe vumilia tu, ndio utakuwa mwana ccm mzuri ukingangania kulalamika sasa hivi utaitwa chadema au mpinzani na nafasi yako kwenye chama itakuwa ndogo sana, wewe endelea kusema ndioooo!!!!!! kama wenzako wanavyofanya,unaweza kupewa uwaziri tena kama wanavyofanya wabunge wenzako wa Tabora wanalaumu lakini wanasema ndiooooo!!!!!!!! ccm inazama wanazama nayo
 
Aliyekuwa Waziri wa Elimu na mafunzo ya ufundi ambaye kwa sasa ni mbunge wa viti maalum Tabora Mh.Magregth Sitta akichangia hotuba ya wizara ya ujenzi amesema ameishangaa serikali kujenga barabara za lami katika majimbo ya upinzani wakati wapinzani hawaoni juhudi hizo za serikali na kusahau majimbo ya CCM ambayo.

"Tabora wabunge wote ni CCM lakini hatuna hata barabara moja ya lami, lakini majimbo ya wapinzani mengi yana lami lakini bado hawana shukrani wanaishia kulaumu tu. Mjifunze kushukuru..."
Huyo mama hana cha kupoteza kwa sababu ubunge wake hajautolea jasho ni wa kupewa tuu..!!!Lakini asijisahau sana kwa sababu siku za wabunge wa viti maalum ZINAHESABIKA.
 
Na bado maana ujinga umewazidi

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Aliyekuwa Waziri wa Elimu na mafunzo ya ufundi ambaye kwa sasa ni mbunge wa viti maalum Tabora Mh.Magregth Sitta akichangia hotuba ya wizara ya ujenzi amesema ameishangaa serikali kujenga barabara za lami katika majimbo ya upinzani wakati wapinzani hawaoni juhudi hizo za serikali na kusahau majimbo ya CCM ambayo.

"Tabora wabunge wote ni CCM lakini hatuna hata barabara moja ya lami, lakini majimbo ya wapinzani mengi yana lami lakini bado hawana shukrani wanaishia kulaumu tu. Mjifunze kushukuru..."

Mage anaumwa CCMNESIA!! hakuna haja ya mtu kushukuru kwa kurudishiwa au kupewa kilicho haki yako, ni uwenda wazimu!
kama CCM wanataka shukurani wakaze buti wakomeshe rushwa, ufisadi na mauaji ya raia na waandishi wa habari wasio na hatia. kwa jinsi hiyo serikali ya CCM inaweza kufanya vizuri zaidi na kwa hiyo kustahili shukurani na heshima ya kila raia wa nji hii wakiwemo wabunge wa upinzani.
 
Mzigo mzito mpe mnyamwezi, usemii nadhani unamaanisha jinsi jamaa walivyowaumilivu katika mambo magumu ambayo yanaweza yasivumiliwe na jamii zingine.
Angalia mkoa mzima wilaya 2 tu ndiyo zimeunganishwa kwa kwa lami (igunga- Nzega less than 100km) lakini bdo wameikumbatia chama cha magamba.
 
Kwa uelewa huu mdogo alio nao huyu mama sijui kama Samwel bado anajipigia? Magreth is not using her head at all.
 
Halafu akimaliza kuchangia anasema naunga mkono hoja 100%. Hii ni hatari sana!!!!!
 
Tatizo haswa la kauli ya Mama Sita nini?
Hivi si nikweli aliyosema kwamba hizo bara bara za lami hazipo?

sana alichojaribu ni kupiga vijembe vya kawaida vya kisiasa bungeni kwamba CCM haibagui sehemu ya kupeleka maendeleo kwa kigezo cha jimbo linawakilishwa na chama gani na kuwataka angalau wabunge wa upinza kukubali angalau kunakazi imefanyika majimboni mwao ya ujenzi wa barabara kwa sera za CCM
 
Aliyekuwa Waziri wa Elimu na mafunzo ya ufundi ambaye kwa sasa ni mbunge wa viti maalum Tabora Mh.Magregth Sitta akichangia hotuba ya wizara ya ujenzi amesema ameishangaa serikali kujenga barabara za lami katika majimbo ya upinzani wakati wapinzani hawaoni juhudi hizo za serikali na kusahau majimbo ya CCM ambayo.

"Tabora wabunge wote ni CCM lakini hatuna hata barabara moja ya lami, lakini majimbo ya wapinzani mengi yana lami lakini bado hawana shukrani wanaishia kulaumu tu. Mjifunze kushukuru..."

Naona uzee unamjia vibaya. Kwani lami inawekwa kwa michango ya vyama au ni kodi ya wananchi wote bila kujali itikadi za vyama? Kwa hiyo kwa mtazamo wake alitaka majimbo yanayoongozwa na upinzani yasiwekwe lami. Kama anajua huko kwake hakuna lami ni kwa nini aliunga hona mkono kwa asili mia mia moja. Aaacher unafiki. And worse still he is a minister.:smash:
 
Back
Top Bottom