Duuuh hatareeDaah unapojidanganya unaujua ulimwengu huu basi kiukweli huujui kabisa au unaijua sehemu ndogo sana
Kuna siku nilikwenda kwamganga na jamaa yangu ili nikamtengeneze mwanamke mmoja kwenye masuala fulani fulani..
Tulikuwa tunakwenda huko Bariadi ndani ndani na ilikua lazima tupitie ziwani na lazima iwe usiku wa manane
Nakumbuka tunapanda mtumbwi na mwenyeji wangu ananiambia nisijali tunaelekea bariadi,,
Hatujafika mbali mtumbwi ukapinduka juu chini ,wote tukapoteza vitu kwa kua vilizama, kuhamaki tunakunywa vikombe vya maji vya kufa mtu
Nikajikuta natembea eneno nisilolijua jioni kwa mbali naona ni kama nyumba zile za zamani sana,ghafla naona dude hilo mbele yangu bonge la dragon linapumua moto,ajabu moto ule haukuniunguza hata...
Likanyosha mkono kunitaka nielekee mbele
Nafika mbele nakuta mtoto mchanga akininyooshea kidole kuniashiria nikate kulia,jamani mambo yanatisha sana haya
Kufika mbele naona mtoto mchanga kasimama hacheki wala hatikisiki akionesha ishara nielekee kushoto
Kufika nakaribishwa na kuelekezwa ndani ya chumba kimoja nipumzike
Asubuhi wkati wa jua kuchomoza nikajikuta nimelala kutandani mzma kabisa nipo peke angu na baada ya kuangalia mle ndani nikagundua palikua ni kwamganga mwenyewe(jina naifadhi) na jana yake nilichoka sana
Ajabu ni kua vitu vyangu vyote vilivyozama nilivikuta pale na nilikabidhiwa wakati wa kutaka kuondoka
Ila nilijifunza vichache;
Hao watu wa ulimwengu huo wanafurahia mno baadhi yawatu wanavyodanganyana mambo haya hayapo. Wanafurahia sana na wanapenda...
Nakumbuka nilipewa sharti la kulala na tipwa tipwa fulani na nikapewa sharti la kutokojoa isipokua kwenye kopo maalum
Njiaya kurudi ilikua ni ile ile na utaratibu uleule... ajabu narudi jamaa yangu namkuta mzima waafya anacheka tu,kumbe jamaa naye ni mpana kwenye ilmu hii daaah
Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Chai ongrza sukari kidogo mtbwi chali kunywa vikombe mara u aona wapi ulifikaje ng'ambo,tujuzeNikiongea itaonekana naji promote mkuu.mm kifupi tu jamaa yangu alijua mchezo mzima na ishu yangu ilikua solved 100% kabisa
Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Huyu dr mariposa nina mashaka naye tutubertiHalafu majinga yanasema ni illusions... na awataki sana tujue kuhusu wao
Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Hii kitu nilikuwa nafanya sana, nilikuwa nadharau waganga ila nilienda baada ya wife kuwa akisumbuliwa na tumbo kila mara tena mara nyingi usiku pia mwili wote unaishiwa nguvu. Nilimpeleka kila Hospital ili apatiwe vipimo lakini hatukupata ugonjwa ilinibidi niende kwa mganga.Kwa mganga utarnda tu kijana sema bado ujapambana na masibu ya ulimwengu vizuri. HATA mimi nilikuwa naongea na wewe ila ili niradhimu kufika kwa mganga.
Ni baada ya kaka yangu kuugua ugonjwa wa ukichaa yani mtu anakuwa chizi kabisa.Pambania mgonjwa hospital kwenye wodi ya vichaa karibu miezi kadhaa ila wapi.
Mwisho daktari mmoja akatuvuta pembeni akasema hapa mnapoteza muda kajaribu tiba za kienyeji na kweli tulienda kule na mgonjwa akapona kwa mara ya kwanza nilikanyanga kwa Mganga kusimamia show ya matibabu
Aaaah wapi... Fix hizo... Dragon walishapotea duniani miaka mingi sana
Connection utapata tu hata usijaliNaomba connection
Kwa nini umeiita sayansi ya dunia?Nahitaji kufahamu zaidi juu hii sayansi ya dunia lkn isinipoteze kwenye imani yangu lengo ni kijilinda na watu wenye husda mbaya na mimi...
Kwa nini msingeenda kwenye makanisa ya wahubiri na mitume?Kwa mganga utarnda tu kijana sema bado ujapambana na masibu ya ulimwengu vizuri. HATA mimi nilikuwa naongea na wewe ila ili niradhimu kufika kwa mganga.
Ni baada ya kaka yangu kuugua ugonjwa wa ukichaa yani mtu anakuwa chizi kabisa.Pambania mgonjwa hospital kwenye wodi ya vichaa karibu miezi kadhaa ila wapi.
Mwisho daktari mmoja akatuvuta pembeni akasema hapa mnapoteza muda kajaribu tiba za kienyeji na kweli tulienda kule na mgonjwa akapona kwa mara ya kwanza nilikanyanga kwa Mganga kusimamia show ya matibabu
Ungesoma vizuri ungeelewa mkuuAaaah wapi... Fix hizo... Dragon walishapotea duniani miaka mingi sana
Mimi huyo wa kuvuta kushabu bila kula? Nashukuru kwa matusi yakoAcha kuvuta kushabu bila kula