Kidotulotokordwak
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 286
- 43
Poleni na majukumu kwa wenye kaz na msio na kaz endeleeni kutafuta na laana kwa wote msiopenda kaz ila mnataka kula na kuvaa vizur.
Mimi ni mwanafunz katika chuo kikuu kimoja maarufu hapa nchini na mfanyakazi katika idara nyeti. miezi michache iliyopita nilitafuta mwanamke wa kunizalia mtoto kwa mkataba wengu mlinishauri wengine mliniponda ila nilipata e-mail nyingi za waliokuwa tayari mwisho wa siku nilikutana nao wote na mazungumzo yote niliyaleta humu, toka nilipoenda Dodoma, Mwanza, Arusha na Dar es Salaam ambapo ndipo nilipokutana na malkia mmoja ambaye uzur wake hauelezek.nilishazungumza meng kwenye post zangu zingine.
Nimekuja kutoa shukran kwa JF coz mwezi 2 tunatarajia kufunga harusi kubwa katika jiji la Arusha. Karibu sana kama ni member wa JF,venue itakuwa ni kibo palace. Wote mliokuwa mnabisha ni muda wa kuja kushuhudia JF inavyafanya kaz.
JF is the best place to be.
Mimi ni mwanafunz katika chuo kikuu kimoja maarufu hapa nchini na mfanyakazi katika idara nyeti. miezi michache iliyopita nilitafuta mwanamke wa kunizalia mtoto kwa mkataba wengu mlinishauri wengine mliniponda ila nilipata e-mail nyingi za waliokuwa tayari mwisho wa siku nilikutana nao wote na mazungumzo yote niliyaleta humu, toka nilipoenda Dodoma, Mwanza, Arusha na Dar es Salaam ambapo ndipo nilipokutana na malkia mmoja ambaye uzur wake hauelezek.nilishazungumza meng kwenye post zangu zingine.
Nimekuja kutoa shukran kwa JF coz mwezi 2 tunatarajia kufunga harusi kubwa katika jiji la Arusha. Karibu sana kama ni member wa JF,venue itakuwa ni kibo palace. Wote mliokuwa mnabisha ni muda wa kuja kushuhudia JF inavyafanya kaz.
JF is the best place to be.