MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,644
- 33,457
Hahaha ....Chadema wanawahi propaganda ili mjadala usiwe wao kushindwa kuunga mkono wapinzani wenzao licha ya ushahidi wa wazi wa ubatili wa uchaguzi....alafu wakipigwa na CCM wanataka jumuiya za kimataifa ziwaunge mkono ....mapenzi ya EL yakawa ya chama ...aibu sana ....ila CCM pia jifunzeni demokrasia ya Kenya .....mfano bora kabisa ...