masaule120
Senior Member
- Jul 16, 2015
- 176
- 33
Acha kununua, nitafidia hiyo hasara mimi kwa kununua mawili mawili kila Alhamis, Naona huna akili timamu wewe....Mtu kashasema mikono yake misafi na ameeleza kuwa Rais ndiye aliyebariki sasa ulitaka Gazeti liandike nini?
Kuna kitu Nimegundua kwa Watanzania wengi, Tunakosa taarifa sahihi na tunategemea sana taarifa za kuambiwa na tunapenda sana kulishwa Umbeya hadi rohoni badala ya kuishia kinywani.
Huyu ni mgojwa wa akili sasa kutokununua kwake gazeti anamkomoa nani? Huyu ni mmoja wa wanaoombea hili taifa lizame *****,