Sitasikiliza tena RADIO ONE kipindi cha sports saa 1.30 usiku

yusufummaka

Member
Apr 7, 2012
30
20
Kama mwanamichezo na mpenzi wa Yanga naahidi kwa moyo wangu wote kwamba sintakujasikiliza kipindi cha spoti cha Radio One. Sababu: Nilipoteza muda wangu mwingi kusubiri kipindi cha michezo cha radio one cha tarehe 16.07.2012 ili kusikia matokeo ya uchaguzi wa Yanga uliofanyika jana. Mshangao: Maulidi Kitenge na mwenzie hawakutangaza nafasi ya Mwenyekiti alishinda nani, badala yake walitoa matokeo ya nafasi ya makamu mwenyekiti na wajumbe wengine. Hakiya mungu njaa itatuumiza, kumbe vyombo hivi vya habari haviko huru namna hii? Kitenge ni mtangazaji anayeheshimika na anayependwa na wanamichezo wengi, lakini leo nimempuuza kupita maelezo na anajipalia makaa ya moto kwenye taaluma yake. Yanga ni club ya watu wengi, ilikuwepo, ipo na itaendelea kuwepo kuliko Manji na Mengi, hawa wanapita tu. Hivi kitenge una akili timamu? Hivi ulitegemea John Jambele angeweza kumshinda Manji katika uchaguzi ule? Manji size yake ni Mh. R. Mengi sio Jambele we vipi!!!. Kitendo cha kutowafahamisha wasikilizaji wako nani kashinda nafasi ya mwenyekiti kiliwafanya watu wasonye na kupoteza imani na kipindi chako na hatimae na Radio one.

Siku nyingine nakuomba umshawishi Mengi achukue fomu agombee sio kumtumia mtu size ya Jambale, hiyo ingekuwa hadithi ya Daudi na Gorieth wa bibilia. Yanga Oyeee!!!!
 
mtawalaumu bure watangazaji wakati hawana makosa na kama ni makosa basi anayo bwana wenu yusufu manji, yeye ndiye alikataa kwa kuweka pingamizi mahakamani kwa baadhi ya vyombo vya habari visiandike masuala yake, na kwa taarifa yako sio vyombo vya IPP MEDIA tu ila hata gazeti la Mwananchi na lenyewe huwa haliandiki jina lake bali huwa wanaandika mfanyabiashara maarufu wa Dar es Salaam maana na wao walikatazwa kumuandika, kama unabisha fuatilia Mwananchi na Mwanaspoti kesho uone kama wataandika jina la Yusufu Manji
BTW, radio siku hizi ni nyingi sana kwani lazima usikie habari za bwana wako kupitia Radio One tuu?
 
AOf course ni issue ya kishamba, mi pamoja ni Simba lakini sioni
mantiki yaani ni kheri wasingetangaza, lakini kuanza kutangaza nafasi
ya M/Mkiti ni dhahiri ni vita binafsi.

Lakini binafsi simlaumu Kitenge coz anakidhi matakwa ya bosi wake,
mashaka yangu ni heshima ya Mengi, natia mashaka heshima yake kupotea
siku za usoni kwa vitu vidogo kama hv.
Kumchukia Manji haimaanishi kuwanyima haki wana Yanga kupata habari,
ningemuelewa kama angesema hawatangazi kabisa kuliko hvyo wanavyofanya hata mtt mdogo anajua.
 
manji alivishitaki vyombo vya habari vya ipp..labda hawatakiwi kumtaja, radio one wanakuwaga na visilani vya kijinga sana nakumbuka kuna kipindi walisusa kutagaza habari za simba..
 
sasa rafiki angu mwenzio pale anatetea ugali wa wake zake wawili akijifanya mjuaji vmwana vtalishwa na manji?
 
Yusuph umekuwa driven na emotions....ukasahau kufuatilia sababu zilizomfanya Kitenge asimtaje Manji.
Kwa kuwa umeshajibiwa basi tuliza mzuka,Manji haandikwi na chombo chochote cha IPP Media na itaendelea kuwa hivyo hadi mahakama ielekeze vinginevyo.
Lkn hata wasingetangaza matokeo tulikuwa tumeshayajua.
Jiandaeni kuona jinsi Yanga inavyokufa maana Manji sio mtu wa kuiongoza club yenu kabisa.
Naona giza mbele
 
Mimi nimeangalia 5 sport ya eatv nikamuona Patrick Nyambera akitangaza habari ya makamu mwenyekiti bila kutaja nafasi ya mwenyekiti ila sikujua sababu. Kumbe ni mambo ya MANJI VS MENGI!
 
Nadhan sasa umesoma comments umeelewa co unakurupuka tu.kitenge ni mwajiliwa pale na wala si mmiliki wa kampun ya ipp,so siku zote mwajiliwa huwa ana tii matakwa ya mwajili wake.
Kama mwanamichezo na mpenzi wa Yanga naahidi kwa moyo wangu wote kwamba sintakujasikiliza kipindi cha spoti cha Radio One. Sababu: Nilipoteza muda wangu mwingi kusubiri kipindi cha michezo cha radio one cha tarehe 16.07.2012 ili kusikia matokeo ya uchaguzi wa Yanga uliofanyika jana. Mshangao: Maulidi Kitenge na mwenzie hawakutangaza nafasi ya Mwenyekiti alishinda nani, badala yake walitoa matokeo ya nafasi ya makamu mwenyekiti na wajumbe wengine. Hakiya mungu njaa itatuumiza, kumbe vyombo hivi vya habari haviko huru namna hii? Kitenge ni mtangazaji anayeheshimika na anayependwa na wanamichezo wengi, lakini leo nimempuuza kupita maelezo na anajipalia makaa ya moto kwenye taaluma yake. Yanga ni club ya watu wengi, ilikuwepo, ipo na itaendelea kuwepo kuliko Manji na Mengi, hawa wanapita tu. Hivi kitenge una akili timamu? Hivi ulitegemea John Jambele angeweza kumshinda Manji katika uchaguzi ule? Manji size yake ni Mh. R. Mengi sio Jambele we vipi!!!. Kitendo cha kutowafahamisha wasikilizaji wako nani kashinda nafasi ya mwenyekiti kiliwafanya watu wasonye na kupoteza imani na kipindi chako na hatimae na Radio one.

Siku nyingine nakuomba umshawishi Mengi achukue fomu agombee sio kumtumia mtu size ya Jambale, hiyo ingekuwa hadithi ya Daudi na Gorieth wa bibilia. Yanga Oyeee!!!!
 
Kama mwanamichezo na mpenzi wa Yanga naahidi kwa moyo wangu wote kwamba sintakujasikiliza kipindi cha spoti cha Radio One. Sababu: Nilipoteza muda wangu mwingi kusubiri kipindi cha michezo cha radio one cha tarehe 16.07.2012 ili kusikia matokeo ya uchaguzi wa Yanga uliofanyika jana. Mshangao: Maulidi Kitenge na mwenzie hawakutangaza nafasi ya Mwenyekiti alishinda nani, badala yake walitoa matokeo ya nafasi ya makamu mwenyekiti na wajumbe wengine. Hakiya mungu njaa itatuumiza, kumbe vyombo hivi vya habari haviko huru namna hii? Kitenge ni mtangazaji anayeheshimika na anayependwa na wanamichezo wengi, lakini leo nimempuuza kupita maelezo na anajipalia makaa ya moto kwenye taaluma yake. Yanga ni club ya watu wengi, ilikuwepo, ipo na itaendelea kuwepo kuliko Manji na Mengi, hawa wanapita tu. Hivi kitenge una akili timamu? Hivi ulitegemea John Jambele angeweza kumshinda Manji katika uchaguzi ule? Manji size yake ni Mh. R. Mengi sio Jambele we vipi!!!. Kitendo cha kutowafahamisha wasikilizaji wako nani kashinda nafasi ya mwenyekiti kiliwafanya watu wasonye na kupoteza imani na kipindi chako na hatimae na Radio one.

Siku nyingine nakuomba umshawishi Mengi achukue fomu agombee sio kumtumia mtu size ya Jambale, hiyo ingekuwa hadithi ya Daudi na Gorieth wa bibilia. Yanga Oyeee!!!!

Radio One imejaa Uyanga mtupu. Maulid Baraka na Omary Katanga. Mtu kama Maulid wake wawili wa nini sasa!!! Ndio maana anakuwa na akili za kushikiliwa.
 
Kama ni kweli kuna tatizo ...tena kubwa hapo...sidhani kama kumlaumu Kitenge ni sahihi...hili lipo juu yake...sikutegemea kama Mengi anawezza kuact kitoto hivi...inasaidia nini sasa??
 
Kama mwanamichezo na mpenzi wa Yanga naahidi kwa moyo wangu wote kwamba sintakujasikiliza kipindi cha spoti cha Radio One. Sababu: Nilipoteza muda wangu mwingi kusubiri kipindi cha michezo cha radio one cha tarehe 16.07.2012 ili kusikia matokeo ya uchaguzi wa Yanga uliofanyika jana. Mshangao: Maulidi Kitenge na mwenzie hawakutangaza nafasi ya Mwenyekiti alishinda nani, badala yake walitoa matokeo ya nafasi ya makamu mwenyekiti na wajumbe wengine. Hakiya mungu njaa itatuumiza, kumbe vyombo hivi vya habari haviko huru namna hii? Kitenge ni mtangazaji anayeheshimika na anayependwa na wanamichezo wengi, lakini leo nimempuuza kupita maelezo na anajipalia makaa ya moto kwenye taaluma yake. Yanga ni club ya watu wengi, ilikuwepo, ipo na itaendelea kuwepo kuliko Manji na Mengi, hawa wanapita tu. Hivi kitenge una akili timamu? Hivi ulitegemea John Jambele angeweza kumshinda Manji katika uchaguzi ule? Manji size yake ni Mh. R. Mengi sio Jambele we vipi!!!. Kitendo cha kutowafahamisha wasikilizaji wako nani kashinda nafasi ya mwenyekiti kiliwafanya watu wasonye na kupoteza imani na kipindi chako na hatimae na Radio one.

Siku nyingine nakuomba umshawishi Mengi achukue fomu agombee sio kumtumia mtu size ya Jambale, hiyo ingekuwa hadithi ya Daudi na Gorieth wa bibilia. Yanga Oyeee!!!!

Ulitaka apoteze kibarua kwa ajili yako? Au wewe unaweza kuacha kwenda kazini kwa sababu ya kusherehekea birthday ya mkeo umpendaye halafu usifutwe kazi? Kuweni wakweli. Na kama matokeo uliyajua ulitaka uyasikie tena ya nini? Nakupongeza Kitenge kwa kufuata maelekezo ya bosi wako.
 
Radio One imejaa Uyanga mtupu. Maulid Baraka na Omary Katanga. Mtu kama Maulid wake wawili wa nini sasa!!! Ndio maana anakuwa na akili za kushikiliwa.

Kama upande wa pili Clauds wamejaa simba tupu, Ibrahim Masoud ''maestro", shafii dauda, Jeff Lea na Ndimbo.
 
Back
Top Bottom