Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 9,499
- 14,360
Wana MMU... Habari za week end?
Naleta kwenu hii thread ili tumsaidie rafiki yangu, kuna mshikaji wangu wa karibu sana ana mahusiano mabaya sana na Baba yake mzazi, kwa muda wa miezi nane sasa baba yake hataki salamu ya mwanae, kisa kilianza kipindi ambacho jamaa alikua anasoma Ruaha University College alikua anafunga nywele yaani (Afro), aliporudi likizo kwao Dar akaambiwa akate nywele yeye akawa hataki, Baba yake akamwambia kama hutaki kuanzia leo USINISALIMIE'' si unajifanya Bob Marley? Jamaa akadhani utani mpaka leo mzee amegoma kuitikia salamu ya Mwanae, na aliambiwa fanya kila kitu Kula, lala lakini Usinisalimie wewe Baba yako ni Bob Marley sio mimi, sio siri jamaa hii ishu inamtesa sana Kisaikolojia na ameshaomba msamaha lakini Dingi kamwekea ngumu, story nyingine kama kawaida wanaongea lakini Salamu tu Mzee wake hataki, na jamaa ameniambia ukweli hili jambo linamuumiza sana moyo wake.
Naomba mawazo yenu tumsaidie Kijana mwenzangu!
Naleta kwenu hii thread ili tumsaidie rafiki yangu, kuna mshikaji wangu wa karibu sana ana mahusiano mabaya sana na Baba yake mzazi, kwa muda wa miezi nane sasa baba yake hataki salamu ya mwanae, kisa kilianza kipindi ambacho jamaa alikua anasoma Ruaha University College alikua anafunga nywele yaani (Afro), aliporudi likizo kwao Dar akaambiwa akate nywele yeye akawa hataki, Baba yake akamwambia kama hutaki kuanzia leo USINISALIMIE'' si unajifanya Bob Marley? Jamaa akadhani utani mpaka leo mzee amegoma kuitikia salamu ya Mwanae, na aliambiwa fanya kila kitu Kula, lala lakini Usinisalimie wewe Baba yako ni Bob Marley sio mimi, sio siri jamaa hii ishu inamtesa sana Kisaikolojia na ameshaomba msamaha lakini Dingi kamwekea ngumu, story nyingine kama kawaida wanaongea lakini Salamu tu Mzee wake hataki, na jamaa ameniambia ukweli hili jambo linamuumiza sana moyo wake.
Naomba mawazo yenu tumsaidie Kijana mwenzangu!