Of course ni siri mkuu Futota ukitazama hapo ni mawaziri wakuu wastaafu walioondoka ofisini bila kashfa nikimaanisha waadilifu(naomba kurekebishwa kwa hilo) na Rais aliyedhulumiwa haki yake(lakini bado ni mtarajiwa)wakipanga mikakati..
Haki ni maji mengi sana, hata kama utajaribu kuyazuia itafika wakati yatakugharikisha, wacha wafanye lkn one day watajua kuwa hata Isabella alichomwa na moto ingawa alidhani makaburu watamlinda siku zote, waliohusika kumtesa ulimboka, wasidhani kuwa wako salama, kwani kizazi huja kizazi hupita watashangaa wanapata kipigo hapa TZ wakiona kwa macho,
heri wakitubu kabla ya hayo hayajawatokea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.