MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
- Thread starter
- #41
hapo patamu wanaa! duh! mademu kwa kuanika bwabwa kwa walaji ni noma cjui huwa wanataka ninii,na hii ndo hupelekea wao kukatwa sana na machizi, weaknes za mume unaztupa kwa madowezi unategemea nini ni lazma watakula kolikoli hadi wampate ili nao wakatangaze aah! mume wa vella! mbna harukii! upande wa walume hyo siyo sana kumsema mwenza na hii ni kuficha ili vidume vngine visije faida dikodiko zako, japo men hujsifu walapo MTANDAO kwa vimada.
ehe hebu come again? Asa hapo haogopi kupindiliwa? Duh kumbe kuwa kimada noma mazee