The Listener
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 993
- 213
Mi ni mtu mzima kwa sasa na nimeishi na mke wangu yapata miaka 12 ya ndoa sasa. Ninampenda sana na ninaishi naye vyema pamoja na wanetu wawili; wa kike na wa kiume. Nimekuwa nikisikia matatizo mengi tu ya kimahusiano na wakati mwingine nimekuwa mshiriki kusuluhisha mahusiano ya baadhi ya rafiki zangu. Mara nyingi huwa natumia uzoefu wa namna ninavyoishi na mama watoto wangu.
Kufuatia suala la mahusiano kuwa na complications nyingi toka pande zote za me na ke kuna siku nikawaza (baada ya kuongea na rafiki yangu ambaye alimpenda sana girl friend wake ingawa yeye alikuwa akimsumbua kwa kutoka na jamaa mwingine) ni nini hasa kiko 'nyuma ya pazia' juu ya haya mapenzi.
Kwa mwenye kujua hasa historia ya suala hili la mahusiano (mahusiano ya kimapenzi kati ya me na ke) iwe ni kihistoria, kiimani au toka angle yoyote ile na atujuze kwa faida ama ya kudumisha ndoa zinazoenenda vyema, kurekebisha ndoa au mahusiano yanayoyumba kwa sababu mbalimbali au kutoa somo kwa wale wote ambao kwa namna moja au nyingine wanao au wana mipango ya kuwa na wenza
Kufuatia suala la mahusiano kuwa na complications nyingi toka pande zote za me na ke kuna siku nikawaza (baada ya kuongea na rafiki yangu ambaye alimpenda sana girl friend wake ingawa yeye alikuwa akimsumbua kwa kutoka na jamaa mwingine) ni nini hasa kiko 'nyuma ya pazia' juu ya haya mapenzi.
Kwa mwenye kujua hasa historia ya suala hili la mahusiano (mahusiano ya kimapenzi kati ya me na ke) iwe ni kihistoria, kiimani au toka angle yoyote ile na atujuze kwa faida ama ya kudumisha ndoa zinazoenenda vyema, kurekebisha ndoa au mahusiano yanayoyumba kwa sababu mbalimbali au kutoa somo kwa wale wote ambao kwa namna moja au nyingine wanao au wana mipango ya kuwa na wenza