HNIC
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 1,898
- 2,195
IPTL wana mkataba wa miaka zaidi ya 20 na Serikali ambapo imekuwa ikilipwa milioni 400 kwa siku
Lakini cha ajabu Ndugu Magufuli kakaa kimya. yeye kila siku anaonea vidagaa maana yake ninii?
wana JF naomba mfungue WIKIPEDIA PAGE ya kuelezea hii scandal ya IPTL kwa dunia
sielewi kwa nini huyu Rais amekuwa mwoga kiasi hiki na hataki kabisaa kugusa hizi scandal kubwa kubwa za kutisha
UPDATES....
Kweli MAGU is on a different league na kwenye hili Mkapa na JK hawachomoki