Siri ya Kushinda Ubunge,Udiwani Hii Hapa

Regia Mtema

R I P
Nov 21, 2009
2,970
864
Wakuu! I hope ur all fine.
Wengi wetu tumekuwa tukiamini kwamba ili mtu ashinde Ubunge au Udiwani basi ni lazima awe na alots of money na hii imepelekea watu wengi hasa vijana na wale wenye kipato kidogo kuogopa kugombea. Hali hii imesababisha wafanyabiashara wakubwa hapa nchi kujikita kwenye siasa kwa kuwa wanauwezo kifedha hata kama hawana good will kwenye game hili. Lakini mtaalam Tip O’Neil- the former Spika wa Marekani anatuambia kwamba fedha sio kigezo cha kwanza cha kushinda Ubunge ama Udiwani au post yeyote ya kisiasa ,yeye anachambua kwamba fedha ni kigezo cha mwisho na sio cha kwanza kama wengi wa Watanzania na nchi nyingine za Afrika tunavyoamini. Hivi ndivyo anavyoeleza……

First and fore most ni
Personality…..anachambua kwamba ni lazima mgombea uwe na personality nzuri kwa wapiga kura wako….ni lazima uuzike,ni lazima uwe na mahusiano mazuri na wapiga kura wako….

Agenda …..Mtaalamu huyu anaamini kwamba agenda ndio kigezo cha pili cha kukufanya ushinde….ni lazima uwe na agenda ambayo inakubalika kwenye eneo husika unalogombea….ukiwa na hii ur likely to win the Election….You must have a specific agenda.


Organisation…..You must be very well organize so that you can organize ur activities smartly……..Kama utakuwa smart basi ur in a safe side to win

Resources….
Hili suala la resources ni la mwisho kabisa lakini ni muhimu kwani suala la fedha halikwepeki kwani unahitaji fedha so that to meet all necessary requirements and activities before and during campaigns.


Haya ndugu zangu, tukiyazingatia haya Ubunge ni wako,Udiwani ni wako..kazi kwenu.


 
Good...lakini hayo yote uliyoweka hapo juu kwa watu wetu wengi huyageuza chini juu, kwa maana kuwa pesa ndio hupewa kipaumbele kuanzia mgombea mwenyewe hadi wapiga kura. Juzi juzi nilikuwa kikazi kwenye wilaya moja kwenye mkoa wa kanda ya kati.Mikakati inapangwa na wapiga kura jinsi ya kuzitafuna pesa za hao wanaoonekana wana nia ya kugombea ubunge...
 
Good...lakini hayo yote uliyoweka hapo juu kwa watu wetu wengi huyageuza chini juu, kwa maana kuwa pesa ndio hupewa kipaumbele kuanzia mgombea mwenyewe hadi wapiga kura. Juzi juzi nilikuwa kikazi kwenye wilaya moja kwenye mkoa wa kanda ya kati.Mikakati inapangwa na wapiga kura jinsi ya kuzitafuna pesa za hao wanaoonekana wana nia ya kugombea ubunge...

Ki uhalisia Tip yuko sahihi kabisa tatizo ni sisi nchi za Afrika tumeweka pesa mbele na ndio maana hatuwapati viongozi makini wanaotufaa..ila kama tukibadilika fikra basi hali ndio inavyopaswa kuwa.
 
asante sana gender sensitive kwa kutuwezesha hata sisi tusio na pesa twende jimboni kuukwaa ubunge. na kubaliana na huyo spika kuwa pesa should be the last reason to win election. na kwa mantiki hii ni kwamba hapa bongo wanaoshinda kwa kigezo cha pesa ni watoa rushwa, na watanzania wengi kumbe tu wapokea rushwa kwa sana.na ndo maana viongozi wetu are stealing our money for paying us, or compansating their money given to us during campaigns. so watanzania tuangalie vigezo hivyo vingine vya personality, agenda and so on, ili tusiibiwe.
 
tip oneil anaongelea siasa za marekani ambako watu wamekwenda shule na wanaelewa kuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya vingozi bora na maendeleo. hapa kwetu siasa haziendi hivyo unahitaji chumvi, chupi, khanga, tishati, vitisho, ffu na waandishi makanjanja wakukupamba magazetini. sasa bila hela utawezaje hivyo? kwetu sisi mtu mwenye personlity ni yule mwenye hela. vijembe na vibwagizo ni ajenda tosha. vingine vyote ukiwa na ngawira vitakuja.
 
tip oneil anaongelea siasa za marekani ambako watu wamekwenda shule na wanaelewa kuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya vingozi bora na maendeleo. hapa kwetu siasa haziendi hivyo unahitaji chumvi, chupi, khanga, tishati, vitisho, ffu na waandishi makanjanja wakukupamba magazetini. sasa bila hela utawezaje hivyo? kwetu sisi mtu mwenye personlity ni yule mwenye hela. vijembe na vibwagizo ni ajenda tosha. vingine vyote ukiwa na ngawira vitakuja.

Tutakwenda hivyo mpaka lini?huoni kuwa inawanyima haki wengine wasio na uwezo?huoni kuwa tunapata viongozi wasijali maslahi ya wanachi kwa kuwa wanakuwa wamepita kwa kutumia pesa?
 
First and fore most ni
Personality…..anachambua kwamba ni lazima mgombea uwe na personality nzuri kwa wapiga kura wako….ni lazima uuzike,ni lazima uwe na mahusiano mazuri na wapiga kura wako….

Agenda …..Mtaalamu huyu anaamini kwamba agenda ndio kigezo cha pili cha kukufanya ushinde….ni lazima uwe na agenda ambayo inakubalika kwenye eneo husika unalogombea….ukiwa na hii ur likely to win the Election….You must have a specific agenda.


Organisation…..You must be very well organize so that you can organize ur activities smartly……..Kama utakuwa smart basi ur in a safe side to win

Resources….
Hili suala la resources ni la mwisho kabisa lakini ni muhimu kwani suala la fedha halikwepeki kwani unahitaji fedha so that to meet all necessary requirements and activities before and during campaigns.
Haya ndugu zangu, tukiyazingatia haya Ubunge ni wako,Udiwani ni wako..kazi kwenu.

naamini haya yana ukweli mkubwa sana; lakini vile vile kinachoeleta tofauti kati ya hivyo vyote siyo personality, resources, organization wala kitu kingine isipokuwa ajenda. Je mgombea anasimamia nini?
 
Kwa Tanzania uongezee na chama cha siasa, unachosimama nacho..ni muhimu hasa kwa maeneo ya vijijini
 
naamini haya yana ukweli mkubwa sana; lakini vile vile kinachoeleta tofauti kati ya hivyo vyote siyo personality, resources, organization wala kitu kingine isipokuwa ajenda. Je mgombea anasimamia nini?

Nakubaliana na wewe...Agenda ni suala la muhimu sana lakini kwa bahati mbaya sana hapa Tanzania ni maeneo machache sana ambayo yanaangalia agenda..wao wamezoea kupewa ahadi fake(zisizotekelezeka)
 
Nimeirudisha tena,tunaribu kujadili kwa mara nyingine ili kwa wale tunaogombea tupate mbinu mbalimbali za kushinda uchaguzi ulioko mbele yetu.
 
Hata hii thread nina maslahi nayo sana.

Pia uwezo wa kuwajua/kuwasoma wapinzani wako ni jambo la muhimu sana.Najaribu kuwasoma kwa karibu nikiwa gizani ingawa wao wamejiuza tayari tangu mwaka jana..wengine hata wameshamalizana kabla ya kura za maoni.
 
Hata hii thread nina maslahi nayo sana.

Pia uwezo wa kuwajua/kuwasoma wapinzani wako ni jambo la muhimu sana.Najaribu kuwasoma kwa karibu nikiwa gizani ingawa wao wamejiuza tayari tangu mwaka jana..wengine hata wameshamalizana kabla ya kura za maoni.

Ben kwanini unawasoma wapinzani wako ukiwa gizani?Unaogopa nini kujitokeza hadharani?Wakati ndio huu wa kujitangaza
 
Back
Top Bottom