Siri iliyofichika nyuma ya Sumaye na Lowassa kurudi tena CCM

Rubbish
SIRI KIJASUSI ILIYOFICHIKA NYUMA YA SUMAYE NA LOWASA KURUDI TENA CCM

Na: Shujaa Charles Richard Mwaisemba (CRM)

Watu wengi kwa kutokuelewa kilichopo nyuma haya hayo yote wanaweza kutoa sababu zao ambazo kwa juu juu zinaakisi ukweli kutokana na hali ya nchi inavyoendeshwa sasa kutokana na utawala wa ccm ya Magufuli

Watu wengi ukiwauliza watakwambia Lowasa na Sumaye wametoka kutokana na uchu wa madaraka baada ya kukosa walichokuwa wakitaka ikiwa ni nafasi ya urais kwa Lowasa na nafasi uongozi kwa sumaye Wengine watasema ni wanafki na wengi watasema wamekwepa mateso na manyanyaso waliyokuwa wanayapata kwa kuwa upinzani ikiwa pamoja na kufilisiwa mali zao na kutishiwa kuuwawa kwa kuwepo upinzani yaani CHADEMA

Lakini leo nataka niwaambie hayo yote hakuna hata moja lililo na ukweli ndani yake, ni sababu za kujihami tu zinazotolewa ili kulinda chama.Ila mpango wa Lowasa na Sumaye Kujitoa CCM na Kuonekana Kujiunga na CHADEMA na , pia hao hao kurudi tena CCM ni mpango uliopangwa kamili tangu Mwanzo na KAMATI MAALUM YA KIJASUSI (KIINTELIGENSIA) Ndani ya CCM au Serikali ya Tz

Wengi wasioyajua haya wanaweza kupinga kishabiki kama ambavyo wangeweza kupinga ikiwa tungewaeleza mapema juu ya mpango huu Ulioratibiwa na watu wachache sana ndani CCM ambao hata CCM wengi hawalijui hilo kwani ilikuwa ni mkakati wa kiinteligensia na kiusalama zaidi ili kuepusha jahazi la CCM ambalo lilikuwa linaenda kufa mikononi mwa Rais J Kikwete

Kutokana na vuguvugu kubwa walilokuwa nao wananchi wa Tz la kutaka mabadiliko kupitia UKAWA katika Mwaka 2015 ambalo lilionyesha dalili ya kuwepo kwa uwezekano wa CCM kutolewa madarakani ikiwa hakutakuwa haitakuwa na tahadhari ndipo wakubwa wachache walipouandaa mpango huu wa kiusalama

Kama nilivyotangulia kusema mpango huu ulifanywa na kujulikana na wakubwa wachache sana ndani ya CCM na Majususi wa mambo ya kisiasa, Ndipo walipopanga kuwatoa sadaka Waliokuwa Mawaziri Wakuu wakubwa wawili yaani Lowasa na Sumaye ambaye mmoja wao(Lowasa) alikuwa na mvuto mkubwa sana wa kisiasa na mtaji wa watu wengi

Mpango wa kumtoa Lowasa ulipangwa mapema kabisa ndio maana Uliaanza kuona LOWASA AMEKATWA KTK WAGOMBEA URAIS WA 2015 . Lakini huo ulikuwa ni mpango kamili uliokuwa ukilenga kuwavuta Wapinzani Kufurahia anguko hilo la lowasa kukatwa kwa faida yao

Mpango huo ulikuwa kuwa Kwanza Kumtafuta Mgombea na mwanasiasa ambaye alikuwa na ana mvuto mkubwa kwa CCM na Upinzani ambaye Ikiwa wangemkataa huyo basi Upinzani wangetamani kumchukua na kumtumia kama mtaji wao ili Kupitia huyo ndio ingewaaminisha wananchi na upinzani Kuwa CCM inaenda kugawanyika kwa kuondokewa na Wakubwa wa chama wa muda mrefu

Mpango huu ulilenga Ikiwa Lowasa angetoka na kuhamia upinzani na kupewa dhamana ya urais , hata kama ingetokea ashinde bado ilikuwa wamekubaliana Nae kuisaliti upinzani kwa kuirudisha serikali mikononi mwa CCM.

Lakini hasaa ilikuwa ni mpango wa kupunguza nguvu za Upinzani kwani Kupitia hao ndio walikuwa Chachu ya kuiua upinzani kwani ndio waliokuwa wanavujisha siri za wapinzani.Kumbuka Lowasa na Sumaye mara baada ya Kujionyesha kuhama CCM waliaminiwa na CHADEMA hata kupewa uwakilishi kwenye Mabaraza makubwa ya maamuzi ya Chama.Hiyo ndio Ulikuwa Mpango wao kuwaingiza Sumaye na Lowasa huko ili kutaka kutafuta kuidhohofisha Nguvu ya upinzani na kutaka kujua ikiwa Upinzani walikuwa wapewa nguvu na mataifa ya nje au la?

Ndio maana mara baada ya Lowasa kuhama CCM na baadae Sumaye Alifuata , na kweli Upinzani wakaingia katika mtego ule ule kama ulivyopangwa na Kamati ya Kijasusi ya CCM.Viongozi hawa Lowasa na Sumaye waliletwa upinzani kwa makusudi ya kutaka kuwafanya wapenye na waaminiwe kabisa kupewa nafasi za juu zaidi ili kuiua kabisa Upinzani ndio maana Kwa muda mrefu wamekuwa na mawazo kinzani sana na yakuwavunja moyo viongozi wa juu wa upinzani ktk vikao vikubwa vya maamuzi

Kumbuka hata Plan ya Kumchagua Rais JPM kama mgombea kwa tiketi ya CCM watu wengi wa ndani ya CCM na nje Ya CCM waliishangaa kwani hakutegemewa wala hakupangwa hivyo tangu mwanzo bali ilikuwa ni Plan B ya watu wachache ndani ya CCM wenye nguvu ya maamuzi waliokuwa Kwenye Kamati hiyo ya Kijasusi(Inteligensia) Kwa lengo la kukisaidia chama kisife ndio wakatumia mpango huo wa kumuinua Mtu mwingine asiyedhaniwa wala kufikiriwa kabla na ndio nguvu zote za Chama hawakuwa na jinsi ilibidi waende nae tu kama Maamuzi ya watu hao wachache yalivyopangwa katika Kamati hiyo ya Kijasusi

Hivyo niseme tu, haina haja kuanza kuumiza kichwa sasa na kutoa sababu zisizo na ukweli juu ya Kurudi kwa Sumaye na Lowasa CCM, huu ulikuwa ni Mpango kamili na wameshakamilisha Kazi waliyotumwa hivyo sio ajabu wakirudi kwao walipokuwa CCM.

Tatizo kubwa la Wapinzani wa tanzania na ikiwa hawatajirekebisha bado wataendelea kuitwa wapinzani yaani hawatakuja kuwa watawala wa Nchi hii ni kwasababu Wanadhani Swala la kutawala nchi ni swala la tu la kuweza kuongea jukwaani na wananchi na kuwapa ahadi nzuri ndio maana nguvu kubwa wameielekeza katika KUTAFUTA UHURU WA MAONI. Hata ikitokea CCM imewapa Uhuru wa maoni bado mnaweza msishike dola na hata mkishika bado mnaweza msiongoze nchi vizuri

Huwezi kutamani Kutaka kushika nchi na kutawala kisiasa ikiwa HAUJUI KUFANYA UJASUSI WA KISIASA au Ikiwa hauna Majasusi ndani ya Chama chenu wanaoweza kuchunguza, kusambaza propaganda na hata Kutengeneza matukio yatakayoweza kuhamisha uelekeo wa Mshindani wako katika Siasa

Moja ya Trick ambayo CCM wamefanikiwa kuitawala nchi hii na kuwashinda Wapinzani sio kwasababu ya Nguvu kubwa tu wanayotumia CCM bali ni Kuwa Wapinzani hawana MAJASUSI NDANI YA CHAMA watakaoweza kufanya Ujasusi wa chini chini utakaoweza kuibua matatizo na kuyashuguulikia

Na Kwa hili Swala la Lowasa na Sumaye Kutumwa Upinzani na Kurudi tena CCM baada ya kumaliza kazi waliyotumwa ni moja ya Matukio ya kiinteligensia ya CCM waliyofanikiwa kuwaweza wapinzani wao ambalo lilipelekea wengi wanaofuata upepo wa wanasiasa kuchukuliwa na wimbi waliloliona kama ni wimbi la mapinduzi kumbe Ulikuwa ni mpango uliosukwa na watu wachache Akiwamo JK na Kamati hiyo ya Kijasusi.

Kwa kukosa umakini na tahadhari kwa Vyama vya upinzani na kwa kutokuwa na Kamati za Kijasusi ndani ya Chama ndio kimepelekea hata Upinzani kufifia nguvu yake kwa watu hasa tunapoelekea Uchaguzi mkuu 2020.

Hata kama Mikutano imezuiwa kinyume cha katiba, uhuru wa vyombo vya habari umeminywa,Uhuru wa maoni umeondolewa kinyume cha katiba bado Haimaanishi Akili hamna. Ushindi sio Vita ya maneno bali ni Vita ya Akili.

Ikiwa Chama cha Upinzani kimekosa Akili au Plan B ya kufanya hata kuwafanya wanachama wao nao kukosa direction ya kujua lipi la kufanya katika mazingira magumu haya wanayopitia basi Chama hicho kitakosa Akili ya kufanya hata pale watakapopewa nchi kutawala kwani kuna mashambulizi mengi na vita nyingi za kisiasa na kiuchumi za ndani na nje ya nchi ambazo zitahitaji akili nyinyi sio maneno mengi, ambazo ushindi wake utategemeana na Uwezo wa chama tawala katika njia za kijasusi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SIRI KIJASUSI ILIYOFICHIKA NYUMA YA SUMAYE NA LOWASA KURUDI TENA CCM

Na: Shujaa Charles Richard Mwaisemba (CRM)

Watu wengi kwa kutokuelewa kilichopo nyuma haya hayo yote wanaweza kutoa sababu zao ambazo kwa juu juu zinaakisi ukweli kutokana na hali ya nchi inavyoendeshwa sasa kutokana na utawala wa ccm ya Magufuli

Watu wengi ukiwauliza watakwambia Lowasa na Sumaye wametoka kutokana na uchu wa madaraka baada ya kukosa walichokuwa wakitaka ikiwa ni nafasi ya urais kwa Lowasa na nafasi uongozi kwa sumaye Wengine watasema ni wanafki na wengi watasema wamekwepa mateso na manyanyaso waliyokuwa wanayapata kwa kuwa upinzani ikiwa pamoja na kufilisiwa mali zao na kutishiwa kuuwawa kwa kuwepo upinzani yaani CHADEMA

Lakini leo nataka niwaambie hayo yote hakuna hata moja lililo na ukweli ndani yake, ni sababu za kujihami tu zinazotolewa ili kulinda chama.Ila mpango wa Lowasa na Sumaye Kujitoa CCM na Kuonekana Kujiunga na CHADEMA na , pia hao hao kurudi tena CCM ni mpango uliopangwa kamili tangu Mwanzo na KAMATI MAALUM YA KIJASUSI (KIINTELIGENSIA) Ndani ya CCM au Serikali ya Tz

Wengi wasioyajua haya wanaweza kupinga kishabiki kama ambavyo wangeweza kupinga ikiwa tungewaeleza mapema juu ya mpango huu Ulioratibiwa na watu wachache sana ndani CCM ambao hata CCM wengi hawalijui hilo kwani ilikuwa ni mkakati wa kiinteligensia na kiusalama zaidi ili kuepusha jahazi la CCM ambalo lilikuwa linaenda kufa mikononi mwa Rais J Kikwete

Kutokana na vuguvugu kubwa walilokuwa nao wananchi wa Tz la kutaka mabadiliko kupitia UKAWA katika Mwaka 2015 ambalo lilionyesha dalili ya kuwepo kwa uwezekano wa CCM kutolewa madarakani ikiwa hakutakuwa haitakuwa na tahadhari ndipo wakubwa wachache walipouandaa mpango huu wa kiusalama

Kama nilivyotangulia kusema mpango huu ulifanywa na kujulikana na wakubwa wachache sana ndani ya CCM na Majususi wa mambo ya kisiasa, Ndipo walipopanga kuwatoa sadaka Waliokuwa Mawaziri Wakuu wakubwa wawili yaani Lowasa na Sumaye ambaye mmoja wao(Lowasa) alikuwa na mvuto mkubwa sana wa kisiasa na mtaji wa watu wengi

Mpango wa kumtoa Lowasa ulipangwa mapema kabisa ndio maana Uliaanza kuona LOWASA AMEKATWA KTK WAGOMBEA URAIS WA 2015 . Lakini huo ulikuwa ni mpango kamili uliokuwa ukilenga kuwavuta Wapinzani Kufurahia anguko hilo la lowasa kukatwa kwa faida yao

Mpango huo ulikuwa kuwa Kwanza Kumtafuta Mgombea na mwanasiasa ambaye alikuwa na ana mvuto mkubwa kwa CCM na Upinzani ambaye Ikiwa wangemkataa huyo basi Upinzani wangetamani kumchukua na kumtumia kama mtaji wao ili Kupitia huyo ndio ingewaaminisha wananchi na upinzani Kuwa CCM inaenda kugawanyika kwa kuondokewa na Wakubwa wa chama wa muda mrefu

Mpango huu ulilenga Ikiwa Lowasa angetoka na kuhamia upinzani na kupewa dhamana ya urais , hata kama ingetokea ashinde bado ilikuwa wamekubaliana Nae kuisaliti upinzani kwa kuirudisha serikali mikononi mwa CCM.

Lakini hasaa ilikuwa ni mpango wa kupunguza nguvu za Upinzani kwani Kupitia hao ndio walikuwa Chachu ya kuiua upinzani kwani ndio waliokuwa wanavujisha siri za wapinzani.Kumbuka Lowasa na Sumaye mara baada ya Kujionyesha kuhama CCM waliaminiwa na CHADEMA hata kupewa uwakilishi kwenye Mabaraza makubwa ya maamuzi ya Chama.Hiyo ndio Ulikuwa Mpango wao kuwaingiza Sumaye na Lowasa huko ili kutaka kutafuta kuidhohofisha Nguvu ya upinzani na kutaka kujua ikiwa Upinzani walikuwa wapewa nguvu na mataifa ya nje au la?

Ndio maana mara baada ya Lowasa kuhama CCM na baadae Sumaye Alifuata , na kweli Upinzani wakaingia katika mtego ule ule kama ulivyopangwa na Kamati ya Kijasusi ya CCM.Viongozi hawa Lowasa na Sumaye waliletwa upinzani kwa makusudi ya kutaka kuwafanya wapenye na waaminiwe kabisa kupewa nafasi za juu zaidi ili kuiua kabisa Upinzani ndio maana Kwa muda mrefu wamekuwa na mawazo kinzani sana na yakuwavunja moyo viongozi wa juu wa upinzani ktk vikao vikubwa vya maamuzi

Kumbuka hata Plan ya Kumchagua Rais JPM kama mgombea kwa tiketi ya CCM watu wengi wa ndani ya CCM na nje Ya CCM waliishangaa kwani hakutegemewa wala hakupangwa hivyo tangu mwanzo bali ilikuwa ni Plan B ya watu wachache ndani ya CCM wenye nguvu ya maamuzi waliokuwa Kwenye Kamati hiyo ya Kijasusi(Inteligensia) Kwa lengo la kukisaidia chama kisife ndio wakatumia mpango huo wa kumuinua Mtu mwingine asiyedhaniwa wala kufikiriwa kabla na ndio nguvu zote za Chama hawakuwa na jinsi ilibidi waende nae tu kama Maamuzi ya watu hao wachache yalivyopangwa katika Kamati hiyo ya Kijasusi

Hivyo niseme tu, haina haja kuanza kuumiza kichwa sasa na kutoa sababu zisizo na ukweli juu ya Kurudi kwa Sumaye na Lowasa CCM, huu ulikuwa ni Mpango kamili na wameshakamilisha Kazi waliyotumwa hivyo sio ajabu wakirudi kwao walipokuwa CCM.

Tatizo kubwa la Wapinzani wa tanzania na ikiwa hawatajirekebisha bado wataendelea kuitwa wapinzani yaani hawatakuja kuwa watawala wa Nchi hii ni kwasababu Wanadhani Swala la kutawala nchi ni swala la tu la kuweza kuongea jukwaani na wananchi na kuwapa ahadi nzuri ndio maana nguvu kubwa wameielekeza katika KUTAFUTA UHURU WA MAONI. Hata ikitokea CCM imewapa Uhuru wa maoni bado mnaweza msishike dola na hata mkishika bado mnaweza msiongoze nchi vizuri

Huwezi kutamani Kutaka kushika nchi na kutawala kisiasa ikiwa HAUJUI KUFANYA UJASUSI WA KISIASA au Ikiwa hauna Majasusi ndani ya Chama chenu wanaoweza kuchunguza, kusambaza propaganda na hata Kutengeneza matukio yatakayoweza kuhamisha uelekeo wa Mshindani wako katika Siasa

Moja ya Trick ambayo CCM wamefanikiwa kuitawala nchi hii na kuwashinda Wapinzani sio kwasababu ya Nguvu kubwa tu wanayotumia CCM bali ni Kuwa Wapinzani hawana MAJASUSI NDANI YA CHAMA watakaoweza kufanya Ujasusi wa chini chini utakaoweza kuibua matatizo na kuyashuguulikia

Na Kwa hili Swala la Lowasa na Sumaye Kutumwa Upinzani na Kurudi tena CCM baada ya kumaliza kazi waliyotumwa ni moja ya Matukio ya kiinteligensia ya CCM waliyofanikiwa kuwaweza wapinzani wao ambalo lilipelekea wengi wanaofuata upepo wa wanasiasa kuchukuliwa na wimbi waliloliona kama ni wimbi la mapinduzi kumbe Ulikuwa ni mpango uliosukwa na watu wachache Akiwamo JK na Kamati hiyo ya Kijasusi.

Kwa kukosa umakini na tahadhari kwa Vyama vya upinzani na kwa kutokuwa na Kamati za Kijasusi ndani ya Chama ndio kimepelekea hata Upinzani kufifia nguvu yake kwa watu hasa tunapoelekea Uchaguzi mkuu 2020.

Hata kama Mikutano imezuiwa kinyume cha katiba, uhuru wa vyombo vya habari umeminywa,Uhuru wa maoni umeondolewa kinyume cha katiba bado Haimaanishi Akili hamna. Ushindi sio Vita ya maneno bali ni Vita ya Akili.

Ikiwa Chama cha Upinzani kimekosa Akili au Plan B ya kufanya hata kuwafanya wanachama wao nao kukosa direction ya kujua lipi la kufanya katika mazingira magumu haya wanayopitia basi Chama hicho kitakosa Akili ya kufanya hata pale watakapopewa nchi kutawala kwani kuna mashambulizi mengi na vita nyingi za kisiasa na kiuchumi za ndani na nje ya nchi ambazo zitahitaji akili nyinyi sio maneno mengi, ambazo ushindi wake utategemeana na Uwezo wa chama tawala katika njia za kijasusi
Kulikuwa na greedy of power ndani ma ccm yenyewe kwa yenyewe. Hakuna cha ujasusi wala mama yake uhasusi
 
SIRI KIJASUSI ILIYOFICHIKA NYUMA YA SUMAYE NA LOWASA KURUDI TENA CCM

Na: Shujaa Charles Richard Mwaisemba (CRM)

Watu wengi kwa kutokuelewa kilichopo nyuma haya hayo yote wanaweza kutoa sababu zao ambazo kwa juu juu zinaakisi ukweli kutokana na hali ya nchi inavyoendeshwa sasa kutokana na utawala wa ccm ya Magufuli

Watu wengi ukiwauliza watakwambia Lowasa na Sumaye wametoka kutokana na uchu wa madaraka baada ya kukosa walichokuwa wakitaka ikiwa ni nafasi ya urais kwa Lowasa na nafasi uongozi kwa sumaye Wengine watasema ni wanafki na wengi watasema wamekwepa mateso na manyanyaso waliyokuwa wanayapata kwa kuwa upinzani ikiwa pamoja na kufilisiwa mali zao na kutishiwa kuuwawa kwa kuwepo upinzani yaani CHADEMA

Lakini leo nataka niwaambie hayo yote hakuna hata moja lililo na ukweli ndani yake, ni sababu za kujihami tu zinazotolewa ili kulinda chama.Ila mpango wa Lowasa na Sumaye Kujitoa CCM na Kuonekana Kujiunga na CHADEMA na , pia hao hao kurudi tena CCM ni mpango uliopangwa kamili tangu Mwanzo na KAMATI MAALUM YA KIJASUSI (KIINTELIGENSIA) Ndani ya CCM au Serikali ya Tz

Wengi wasioyajua haya wanaweza kupinga kishabiki kama ambavyo wangeweza kupinga ikiwa tungewaeleza mapema juu ya mpango huu Ulioratibiwa na watu wachache sana ndani CCM ambao hata CCM wengi hawalijui hilo kwani ilikuwa ni mkakati wa kiinteligensia na kiusalama zaidi ili kuepusha jahazi la CCM ambalo lilikuwa linaenda kufa mikononi mwa Rais J Kikwete

Kutokana na vuguvugu kubwa walilokuwa nao wananchi wa Tz la kutaka mabadiliko kupitia UKAWA katika Mwaka 2015 ambalo lilionyesha dalili ya kuwepo kwa uwezekano wa CCM kutolewa madarakani ikiwa hakutakuwa haitakuwa na tahadhari ndipo wakubwa wachache walipouandaa mpango huu wa kiusalama

Kama nilivyotangulia kusema mpango huu ulifanywa na kujulikana na wakubwa wachache sana ndani ya CCM na Majususi wa mambo ya kisiasa, Ndipo walipopanga kuwatoa sadaka Waliokuwa Mawaziri Wakuu wakubwa wawili yaani Lowasa na Sumaye ambaye mmoja wao(Lowasa) alikuwa na mvuto mkubwa sana wa kisiasa na mtaji wa watu wengi

Mpango wa kumtoa Lowasa ulipangwa mapema kabisa ndio maana Uliaanza kuona LOWASA AMEKATWA KTK WAGOMBEA URAIS WA 2015 . Lakini huo ulikuwa ni mpango kamili uliokuwa ukilenga kuwavuta Wapinzani Kufurahia anguko hilo la lowasa kukatwa kwa faida yao

Mpango huo ulikuwa kuwa Kwanza Kumtafuta Mgombea na mwanasiasa ambaye alikuwa na ana mvuto mkubwa kwa CCM na Upinzani ambaye Ikiwa wangemkataa huyo basi Upinzani wangetamani kumchukua na kumtumia kama mtaji wao ili Kupitia huyo ndio ingewaaminisha wananchi na upinzani Kuwa CCM inaenda kugawanyika kwa kuondokewa na Wakubwa wa chama wa muda mrefu

Mpango huu ulilenga Ikiwa Lowasa angetoka na kuhamia upinzani na kupewa dhamana ya urais , hata kama ingetokea ashinde bado ilikuwa wamekubaliana Nae kuisaliti upinzani kwa kuirudisha serikali mikononi mwa CCM.

Lakini hasaa ilikuwa ni mpango wa kupunguza nguvu za Upinzani kwani Kupitia hao ndio walikuwa Chachu ya kuiua upinzani kwani ndio waliokuwa wanavujisha siri za wapinzani.Kumbuka Lowasa na Sumaye mara baada ya Kujionyesha kuhama CCM waliaminiwa na CHADEMA hata kupewa uwakilishi kwenye Mabaraza makubwa ya maamuzi ya Chama.Hiyo ndio Ulikuwa Mpango wao kuwaingiza Sumaye na Lowasa huko ili kutaka kutafuta kuidhohofisha Nguvu ya upinzani na kutaka kujua ikiwa Upinzani walikuwa wapewa nguvu na mataifa ya nje au la?

Ndio maana mara baada ya Lowasa kuhama CCM na baadae Sumaye Alifuata , na kweli Upinzani wakaingia katika mtego ule ule kama ulivyopangwa na Kamati ya Kijasusi ya CCM.Viongozi hawa Lowasa na Sumaye waliletwa upinzani kwa makusudi ya kutaka kuwafanya wapenye na waaminiwe kabisa kupewa nafasi za juu zaidi ili kuiua kabisa Upinzani ndio maana Kwa muda mrefu wamekuwa na mawazo kinzani sana na yakuwavunja moyo viongozi wa juu wa upinzani ktk vikao vikubwa vya maamuzi

Kumbuka hata Plan ya Kumchagua Rais JPM kama mgombea kwa tiketi ya CCM watu wengi wa ndani ya CCM na nje Ya CCM waliishangaa kwani hakutegemewa wala hakupangwa hivyo tangu mwanzo bali ilikuwa ni Plan B ya watu wachache ndani ya CCM wenye nguvu ya maamuzi waliokuwa Kwenye Kamati hiyo ya Kijasusi(Inteligensia) Kwa lengo la kukisaidia chama kisife ndio wakatumia mpango huo wa kumuinua Mtu mwingine asiyedhaniwa wala kufikiriwa kabla na ndio nguvu zote za Chama hawakuwa na jinsi ilibidi waende nae tu kama Maamuzi ya watu hao wachache yalivyopangwa katika Kamati hiyo ya Kijasusi

Hivyo niseme tu, haina haja kuanza kuumiza kichwa sasa na kutoa sababu zisizo na ukweli juu ya Kurudi kwa Sumaye na Lowasa CCM, huu ulikuwa ni Mpango kamili na wameshakamilisha Kazi waliyotumwa hivyo sio ajabu wakirudi kwao walipokuwa CCM.

Tatizo kubwa la Wapinzani wa tanzania na ikiwa hawatajirekebisha bado wataendelea kuitwa wapinzani yaani hawatakuja kuwa watawala wa Nchi hii ni kwasababu Wanadhani Swala la kutawala nchi ni swala la tu la kuweza kuongea jukwaani na wananchi na kuwapa ahadi nzuri ndio maana nguvu kubwa wameielekeza katika KUTAFUTA UHURU WA MAONI. Hata ikitokea CCM imewapa Uhuru wa maoni bado mnaweza msishike dola na hata mkishika bado mnaweza msiongoze nchi vizuri

Huwezi kutamani Kutaka kushika nchi na kutawala kisiasa ikiwa HAUJUI KUFANYA UJASUSI WA KISIASA au Ikiwa hauna Majasusi ndani ya Chama chenu wanaoweza kuchunguza, kusambaza propaganda na hata Kutengeneza matukio yatakayoweza kuhamisha uelekeo wa Mshindani wako katika Siasa

Moja ya Trick ambayo CCM wamefanikiwa kuitawala nchi hii na kuwashinda Wapinzani sio kwasababu ya Nguvu kubwa tu wanayotumia CCM bali ni Kuwa Wapinzani hawana MAJASUSI NDANI YA CHAMA watakaoweza kufanya Ujasusi wa chini chini utakaoweza kuibua matatizo na kuyashuguulikia

Na Kwa hili Swala la Lowasa na Sumaye Kutumwa Upinzani na Kurudi tena CCM baada ya kumaliza kazi waliyotumwa ni moja ya Matukio ya kiinteligensia ya CCM waliyofanikiwa kuwaweza wapinzani wao ambalo lilipelekea wengi wanaofuata upepo wa wanasiasa kuchukuliwa na wimbi waliloliona kama ni wimbi la mapinduzi kumbe Ulikuwa ni mpango uliosukwa na watu wachache Akiwamo JK na Kamati hiyo ya Kijasusi.

Kwa kukosa umakini na tahadhari kwa Vyama vya upinzani na kwa kutokuwa na Kamati za Kijasusi ndani ya Chama ndio kimepelekea hata Upinzani kufifia nguvu yake kwa watu hasa tunapoelekea Uchaguzi mkuu 2020.

Hata kama Mikutano imezuiwa kinyume cha katiba, uhuru wa vyombo vya habari umeminywa,Uhuru wa maoni umeondolewa kinyume cha katiba bado Haimaanishi Akili hamna. Ushindi sio Vita ya maneno bali ni Vita ya Akili.

Ikiwa Chama cha Upinzani kimekosa Akili au Plan B ya kufanya hata kuwafanya wanachama wao nao kukosa direction ya kujua lipi la kufanya katika mazingira magumu haya wanayopitia basi Chama hicho kitakosa Akili ya kufanya hata pale watakapopewa nchi kutawala kwani kuna mashambulizi mengi na vita nyingi za kisiasa na kiuchumi za ndani na nje ya nchi ambazo zitahitaji akili nyinyi sio maneno mengi, ambazo ushindi wake utategemeana na Uwezo wa chama tawala katika njia za kijasusi
Kwanini Siri iwe Kurudi ccm tu na siyo kutoka ccm kwenda Chadema ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbuka hata Plan ya Kumchagua Rais JPM kama mgombea kwa tiketi ya CCM watu wengi wa ndani ya CCM na nje Ya CCM waliishangaa kwani hakutegemewa wala hakupangwa hivyo tangu mwanzo bali ilikuwa ni Plan B ya watu wachache ndani ya CCM wenye nguvu ya maamuzi waliokuwa Kwenye Kamati hiyo ya Kijasusi(Inteligensia)
Japo maudhui ya bandiko hili ni tango pori ila kuna vi theory umetaka kuvipatia
  1. Ni kweli CCM walipania kumchinja Lowassa na sababu sio ufisadi bali ni ...
  2. Kwa vile Lowassa alikuwa amepania sana, hivyo akikatwa angekipasua chama, hivyo kwanza wakamtafutia wagombea vijichio, kwa kumshauri VP na PM wachukue fomu ili wakichinjwa na Lowassa akichinjwa, CCM ibaki salama.
  3. Ndipo sasa wakajua akikatwa na kuingia opposition, CCM inakwenda chini, hivyo atafutwe mtu anayekubalika kwa uchapakazi, mbabe na mtemi anayeweza kushindana na Lowassa na CCM ikashinda.
  4. Ndipo wakatumia kete ya ukanda. Japo Tanzania hatuna ukanda na ukabila, ila it's a fact Kanda ya Ziwa ndio determinant ya nani anakuwa rais wa JMT. Mtazamo: Kanda ya Kaskazini, CCM imechokwa mpaka basi!
  5. Na kwa vile Lowassa ni Mlutheri, wakaitumia vizuri kete ya udini kumtafuta mtu wa Kanda ya Ziwa ambaye ni wa ile dini ya marais wote wa Tanzania akiwa Mkristo. Kete ya Dhana ya 'Zamu za Kupokezana' ina turufu yoyote katika Mustakabali wa 'Urais' wa JMT?
  6. Kwa vile Lowassa ana kashfa ya ufisadi, wakaamua wamtafute mtu safi angalau angalau
  7. Ndipo nyota ikaelekeza kwa Magufuli, na mimi nilipoinyaka nikaileta humu, by that time jina la Magufuli linapitishwa, hata Magufuli mwenyewe alikuwa hajui!. Uchaguzi 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli
P
 
Yaani wewe umeandika ujinga sijapata kuona. Huko zanzibar mlikofuta ushindi wa Maalimu mlitumia intelijensia gani. Hii intelijensia ingekuwepo msingekuwa mnahangaika na wasimamizi wa uchaguzi kulazimisha wahakikishe wagombea wenu wanapita bila kupingwa. Ungesema intelijensia ya CCM imegundua mikutano ya hadhara na bunge live inawapromote wapinzani ningeona unakili. Halafu CCM msiwadanganye wanachama wenu kwamba upinzani umemalizwa na kazi nzuri ya Magufuli, mnawafanya wawe mazoba, ndo maana siku hizi viongozi wenu huku chini wanashindwa kabisa kujenga hoja za maana wakati wa kampeni. Matokeo yake uchaguzi ukifanyika hata ukiwa mdogo ktk ngome CCM wanakimbilia kwa watendaji ili wasaidiwe kuiba kura au wagombea wao wapite bila kupingwa.
 
Mayala kama hujui siasa za kijasusi ni bora unyamaze. Nimeele walikuwa wamemuandaa kusaliti upinzani kwani upinzani watakuwa wamerejesha ushindi kwa ccm ambao wao waliamini ni upinzani
Hoja hii sii kweli, ndio maana nikakuambia hili ni tango pori, wewe ungekuwa ni mtu hata mwenye just the basic intel, ungetuambia ni kwa nini iliamuliwa asiwe Lowassa, hii ya kusema alitumwa Chadema, nadhani kawahubirie watoto wa chekechea.
Unamjua Mwenyekiti wa Kamati ya Lowassa kuchukua urais?. Nakushauri usiendelee kuliuza hili tango pori hapa.
P
 
Ahahahah..kama ni ww umeyaandika haya siaminin hata moja.Kwel kila mtanzania ni tajir ni Tiss ni Tpdf ni analyst wa kila sector nimeamin.

Ww charles richard mwaisemba uliyesoma kimanga primary (ulisoma na my yf 97/2003 kipindi hata sijamjua bado nikiwa mkoa) ukaja ukasoma na mm Tosamaganga high scul) mzee wa maombi full time mtumishi wa bwana umetoa wap guts za kujua mambo ya inner circle (kama ulivyojieleza) kama haya???mipango waliokuwa wanaijua wachache.!!
Ahahahahha.mzee wa PCM Umenifurahisha sana mkuu..

Au ndio unataka kusema enzi hizo unajitenga tenga na wadau pale uboizini tosa ulishakua usalama wa taifa tayar?
Ahahahahahahahaahah..maana sio kwa nondo hiz za kuunga unga unazomwaga hapa..
Duh hatar

NB
wabongo tupunguze ujuajii
Hahaha asante kwa kunifahamu vizuri.Ila nilichokieleza ndivyo kilivyo ndio maana nimekiweka hadharani kwani huwezi kujua kwanini nimejua kuna kamati ya kijasusi nyuma ya hilo

Huu ndio wakati sahihi wa kufichua siri hiyo ili kuwapa tahadhari maana hata tungeisema wakati wa tukio tungeonekana ni vichekesho labda tuna wivu.ila mpumbavu anajifunza kwa makosa yake.


Nafahamu nyinyi msiozijua siri za nchi hii mnaweza kutukana na kukejeli na kidhihaki na kupuuza nilichokisema kwakuwa hamzijui siasa za kijasusi ila nafahamu wakubwa wenu wamenielewa sana na wamefunguka sana na tahadhari itachukuliwa mapema sana hata kabla ya uchaguzi mkuu

Hapa mbeleni nitaeleza Kwanini unaona kuna mgogoro mkubwa kati ya kina membe , kinana na chama chao cha CCM ndipo utanielewa vizuri kwanini niliyoyasema ndivyo yalivyo kwa 100%
 
Kilichonifurahisha ni kusema kwamba ni "watu wachache sana walioujua huu mpango ndani ya CCM, lakini ajabu wewe uliujua! Ahahahahah! Idumu JF!!!
Ndio ujiulize kwanino tumeamua kufichua wakati huu na si wakati ule?

Mission imeshakuwa accomplished hivyo kila kilichosirini lazima kifichuke hakuna siti ya wawili.

Cha muhimu ushauri niliotoa Upinzani wauzingatie
 
Upinzani hawawezi kufuata ushauri wa kijinga kiasi hiki
Ndio ujiulize kwanino tumeamua kufichua wakati huu na si wakati ule?

Mission imeshakuwa accomplished hivyo kila kilichosirini lazima kifichuke hakuna siti ya wawili.

Cha muhimu ushauri niliotoa Upinzani wauzingatie
 
Mayala kama hujui siasa za kijasusi ni bora unyamaze.Nimeeleza Kuwa Lowasa ndiye alikuwa mwanasiasa mwenye mvuto na upepo mkubwa hivyo kuhama kwake walijua hata kama angeshinda akiwa upinzani bado walikuwa wamemuandaa kusaliti upinzani kwani upinzani watakuwa wamerejesha ushindi kwa ccm ambao wao waliamini ni upinzano

Kumbuka nimesema kuwa CCM walikuwa na mashaka juu ya upinzani huenda wanaweza kushinda ikiwa tu wangepata msaada wa mataifa ya nje yenye nguvu hivyo ilikuwa ni lazima wawatume lowasa na sumaye waliokuwa mawaziri wakuu wakubwa na hasa lowasa ambaye ndiye waliamini lazima upinzani wampe dhamana ya kugombea kwao ila kumbe ndio ilikuwa maangamizo yao
Hiyo ni tungo tu wala haiakisi ukweli wowote.Hivi hamna kazi ya kufanya, kama vipi andika riwaya inaweza kukuingizia kipato kuliko utoto unaleta hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lowasa kutukanwa na UVCCM ni kawaida kutokea kumbuka nimekwambia Mpango huu wana CCM wengi tu hata wakubwa wengi hawakuujua hivyo Lowasa alivyotoka wao walidhani ni kwasababu tu ya sababu ile ya kukatwa hawakujua Kulikuwa na mpango wa lowasa kwenda upinzani kwa purpose
Hii bidhaa yako ni mbovu haiuziki wala hainunuliki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom