SIRI: Game ya PONZI scheme huwa inachezwa hivi...

Kingsmann

JF-Expert Member
Oct 4, 2018
4,448
16,313
1. Wanaazima CREDIBILITY Kutoka Kwenye Baadhi ya Medias Zenye AUTHORITY (Tv,s, Radios nk).

2. Wanatafuta SOCIAL PROOFS za Kwamba Hii business Model inafanya Kazi (Wana-Clear SCAPTISMS).

3). Wanatoa RISK yoyote Kwa Mlengwa (INVESTOR) unaona Kabisa Huna Cha Kupoteza na Hela Yako Ipo Salama

4). Wanatafuta Team Kisha Wanapigwa Pindi la Marketing & Sales (Especially Closing skills) Ili wawe na Uwezo wa Kufanya Prospecting na Closing.





CASE STUDY: KALYNDA

Je Game Ipo wapi?...


Ukisoma Ile story ya Miaka ya 1920's ya Charles Ponzi...ambaye Ndio Mwanzilishi wa Ponzi Scheme, Utakuja Kugundua Kwamba "Wale Investors wa Kwanza Ndio wanaowalipa Investors wapya...yaani hakuna Exchange of VALUE yoyote In Between Ili Profit ipatikane na igawanywe Kwa Hao Investors". Ni kama UPATU.

Rafiki Mpendwa, Ngoja nikwambie Kitu Kimoja Leo ambacho kitakuokoa sana Kupigwa Hela Kizembe Mtandaoni. Ukiona Mfumo wowote unaoahidi Kukupa Hela Mtandaoni Bila Kutokea Exchange of VALUE yoyote In Between...basi Jua 101% Hiyo ni SCAM.

Ukweli ni Kwamba Ili Pesa itengenezwe lazima Itokee Exchange of VALUE yoyote in Between. Ukiona Deal ni tamu Zaidi waza Mara Mbili Kabla hujaingia Mzima Mzima.

Money is not Given...it's EARNED! . Kwahiyo... . Wanaopiga Hela Kwenye Ponzi Scheme yoyote ni wale wanaowekeza wa Kwanza na Ndio CHAMBO yenyewe Kwasababu Ndio wanaotoa SHUHUDA...(Social Proofs) Ambazo zitawapandisha Wengine Mtumbwi wa Vibwengo.

Ukweli ni Kwamba Zile Hela Huwa haziwekezwi Popote kama Jinsi unavyoambiwa...Bali Huwa ZINAZUNGUSHWA. Yani mnalipana Wenyewe Kwa Wenyewe...wale wa Kwanza wanalipia wapya.

Na ikifika Muda Tu Ule Mzunguko ukawa Mdogo Kuliko Pesa Zinazotakiwa Kutoka, Yaani OUTFLOW ikawa Kubwa Kuliko INFLOW (Outflow>Inflow) Maana yake wakitoa Mzigo wanakula Hasara.

Hiyo ni ishara Kwamba Ponzi Ipo Kwenye Peak yaani Mwisho. Ponzi ikifika Mwisho inaanza Kushuka Maana yake inakuwa Hasara Kwao.

Ikifika Hapo Kitaalamu inaitwa..."It's Time" au "D-Day".

Guess what?...BOOOOM..Wana wanayeyuka Huku wakiweweseka kiwendawazimu na Servers Zao.

Na Kuna Tofauti Kubwa Sana Kati ya hizi Models Hapa Chini...

1. Ponzi Schemes
2. Pyramid Schemes
3. MLM

Ponzi scheme inalandana sana na Pyramid Scheme ila HAZIFANANI (Similar but not identical).

MLM ni Legal Business Model Kwasababu Kuna Exchange of VALUE In Between Watu wanauza & Kununua Products na Zinasolve Matatizo ya watu.

Lakini MLM kama inaunganisha Watu Pekee Bila Kuuza Chochote kati kati Hiyo ni SCAM...

Anyway nimeona Tu niwasanue kidogo Wanangu Kwasababu Kuna Mtu Wangu wa Karibu aliwahi Kupigwa Kitambo so nikaingiaga Chimbo Kuhusu Hizi business Models so nazijua nje ndani.

Sema Kalynda wangepiga Hela Nyingi Zaidi Endapo wangetumia Mbinu inayoitwa "Piss Them Off and then Apologize Strategy"..

Yaani warudi Tena waombe msamaha Kwa Servers ku-Missbehave Kisha Baadhi walipwe Hela Zao, Watoe Shuhuda, Waendelee kualika More Investors, then Boooooom.

(Ndo nawasanua hivyo msipigwe Tena)

Anyway Ahsante Kwa Kusoma Mpaka Mwisho.

Namaste
 
1. Wanaazima CREDIBILITY Kutoka Kwenye Baadhi ya Medias Zenye AUTHORITY (Tv,s, Radios nk).

2. Wanatafuta SOCIAL PROOFS za Kwamba Hii business Model inafanya Kazi (Wana-Clear SCAPTISMS).

3). Wanatoa RISK yoyote Kwa Mlengwa (INVESTOR)...unaona Kabisa Huna Cha Kupoteza na Hela Yako Ipo Salama

4). Wanatafuta Team Kisha Wanapigwa Pindi la Marketing & Sales (Especially Closing skills) Ili wawe na Uwezo wa Kufanya Prospecting na Closing.
View attachment 2383782

View attachment 2383786

CASE STUDY: KALYNDA

Je Game Ipo wapi?...


Ukisoma Ile story ya Miaka ya 1920's ya Charles Ponzi...ambaye Ndio Mwanzilishi wa Ponzi Scheme, Utakuja Kugundua Kwamba "Wale Investors wa Kwanza Ndio wanaowalipa Investors wapya...yaani hakuna Exchange of VALUE yoyote In Between Ili Profit ipatikane na igawanywe Kwa Hao Investors". Ni kama UPATU.

Rafiki Mpendwa, Ngoja nikwambie Kitu Kimoja Leo ambacho kitakuokoa sana Kupigwa Hela Kizembe Mtandaoni. Ukiona Mfumo wowote unaoahidi Kukupa Hela Mtandaoni Bila Kutokea Exchange of VALUE yoyote In Between...basi Jua 101% Hiyo ni SCAM.

Ukweli ni Kwamba Ili Pesa itengenezwe lazima Itokee Exchange of VALUE yoyote in Between. Ukiona Deal ni tamu Zaidi waza Mara Mbili Kabla hujaingia Mzima Mzima.

Money is not Given...it's EARNED! . Kwahiyo... . Wanaopiga Hela Kwenye Ponzi Scheme yoyote ni wale wanaowekeza wa Kwanza na Ndio CHAMBO yenyewe Kwasababu Ndio wanaotoa SHUHUDA...(Social Proofs) Ambazo zitawapandisha Wengine Mtumbwi wa Vibwengo.

Ukweli ni Kwamba Zile Hela Huwa haziwekezwi Popote kama Jinsi unavyoambiwa...Bali Huwa ZINAZUNGUSHWA. Yani mnalipana Wenyewe Kwa Wenyewe...wale wa Kwanza wanalipia wapya.

Na ikifika Muda Tu Ule Mzunguko ukawa Mdogo Kuliko Pesa Zinazotakiwa Kutoka, Yaani OUTFLOW ikawa Kubwa Kuliko INFLOW (Outflow>Inflow) Maana yake wakitoa Mzigo wanakula Hasara.

Hiyo ni ishara Kwamba Ponzi Ipo Kwenye Peak yaani Mwisho. Ponzi ikifika Mwisho inaanza Kushuka Maana yake inakuwa Hasara Kwao.

Ikifika Hapo Kitaalamu inaitwa..."It's Time" au "D-Day".

Guess what?...BOOOOM..Wana wanayeyuka Huku wakiweweseka kiwendawazimu na Servers Zao.

Na Kuna Tofauti Kubwa Sana Kati ya hizi Models Hapa Chini...

1. Ponzi Schemes
2. Pyramid Schemes
3. MLM

Ponzi scheme inalandana sana na Pyramid Scheme ila HAZIFANANI (Similar but not identical).

MLM ni Legal Business Model Kwasababu Kuna Exchange of VALUE In Between Watu wanauza & Kununua Products na Zinasolve Matatizo ya watu.

Lakini MLM kama inaunganisha Watu Pekee Bila Kuuza Chochote kati kati Hiyo ni SCAM...

Anyway nimeona Tu niwasanue kidogo Wanangu Kwasababu Kuna Mtu Wangu wa Karibu aliwahi Kupigwa Kitambo so nikaingiaga Chimbo Kuhusu Hizi business Models so nazijua nje ndani.

Sema Kalynda wangepiga Hela Nyingi Zaidi Endapo wangetumia Mbinu inayoitwa "Piss Them Off and then Apologize Strategy"..

Yaani warudi Tena waombe msamaha Kwa Servers ku-Missbehave Kisha Baadhi walipwe Hela Zao, Watoe Shuhuda, Waendelee kualika More Investors, then Boooooom.

(Ndo nawasanua hivyo msipigwe Tena)

Anyway Ahsante Kwa Kusoma Mpaka Mwisho.

Namaste
Haya mbona yanajulikana siku nyingi mno? Tumekuwa tunayajadili hapa tangu enzi za Jambo Forum miaka ya 2006! Ni hivi: watu hawatapeliwi kwa sababu hawajui utapeli unavyoendeshwa!
 
Haiwezekani mkuu kabisa kwa statement ya mwisho kwamba warudi ili wagain trust kwa sababu zifuatazo.

Cha mwaka kama walidai watarudisha mfano 130% au 200% yaani mara mbili ya pesa kama ukiweka million 1 unapata mbili kwa 200%....Ishu ni kwamba hatoweza kulipa mzunguko wa kwanza mara mbili ya pesa ya waliowekeza mwanzo kutokana na ukubwa wa investment ya pesa ...kwa sababu tayar Kuna pesa washalipa upliners kupitia commission za kualika na binary yaani kubalance both side (left&right) na Kuna binary ya spillover katika weak leg so zile pesa ni nyingi sana wanalipa bado warudishe na investment dividend kwa hao wawekezaji ni impossible la sivyo watakula hasara...

Ile ni pool wanakuwa smart sana hao jamaa kwani pesa inayoingia lazima wafanye calculation na inayotoka ili ile pool yao isiwe empty pawe na amount always iko available kwa vile hawafanyi biashara yeyote ...na hapo pesa inayotoka ipo kwa inatoka kama dividends kwa wawekezaji na pia pesa za commissions kwa upliners na promoters ...so Kwa asilimia kubwa wasingeweza kusurvive In a long run ...wanachofanya kabla investment package za kwanza kabisa kufika mwisho washatembea mapema la sivyo tunaita "watajila" maana hata nyoka akijing'ata mwenyewe anakufa kwa sumu yake ndo ivyo

Kwa elimu uliyotoa nakupongeza kwa 100% uko sahihi.
 
1. Wanaazima CREDIBILITY Kutoka Kwenye Baadhi ya Medias Zenye AUTHORITY (Tv,s, Radios nk).

2. Wanatafuta SOCIAL PROOFS za Kwamba Hii business Model inafanya Kazi (Wana-Clear SCAPTISMS).

3). Wanatoa RISK yoyote Kwa Mlengwa (INVESTOR)...unaona Kabisa Huna Cha Kupoteza na Hela Yako Ipo Salama

4). Wanatafuta Team Kisha Wanapigwa Pindi la Marketing & Sales (Especially Closing skills) Ili wawe na Uwezo wa Kufanya Prospecting na Closing.
View attachment 2383782

View attachment 2383786

CASE STUDY: KALYNDA

Je Game Ipo wapi?...

Ukisoma Ile story ya Miaka ya 1920's ya Charles Ponzi...ambaye Ndio Mwanzilishi wa Ponzi Scheme, Utakuja Kugundua Kwamba "Wale Investors wa Kwanza Ndio wanaowalipa Investors wapya...yaani hakuna Exchange of VALUE yoyote In Between Ili Profit ipatikane na igawanywe Kwa Hao Investors". Ni kama UPATU.

Rafiki Mpendwa, Ngoja nikwambie Kitu Kimoja Leo ambacho kitakuokoa sana Kupigwa Hela Kizembe Mtandaoni. Ukiona Mfumo wowote unaoahidi Kukupa Hela Mtandaoni Bila Kutokea Exchange of VALUE yoyote In Between...basi Jua 101% Hiyo ni SCAM.

Ukweli ni Kwamba Ili Pesa itengenezwe lazima Itokee Exchange of VALUE yoyote in Between. Ukiona Deal ni tamu Zaidi waza Mara Mbili Kabla hujaingia Mzima Mzima.

Money is not Given...it's EARNED! . Kwahiyo... . Wanaopiga Hela Kwenye Ponzi Scheme yoyote ni wale wanaowekeza wa Kwanza na Ndio CHAMBO yenyewe Kwasababu Ndio wanaotoa SHUHUDA...(Social Proofs) Ambazo zitawapandisha Wengine Mtumbwi wa Vibwengo.

Ukweli ni Kwamba Zile Hela Huwa haziwekezwi Popote kama Jinsi unavyoambiwa...Bali Huwa ZINAZUNGUSHWA. Yani mnalipana Wenyewe Kwa Wenyewe...wale wa Kwanza wanalipia wapya.

Na ikifika Muda Tu Ule Mzunguko ukawa Mdogo Kuliko Pesa Zinazotakiwa Kutoka, Yaani OUTFLOW ikawa Kubwa Kuliko INFLOW (Outflow>Inflow) Maana yake wakitoa Mzigo wanakula Hasara.

Hiyo ni ishara Kwamba Ponzi Ipo Kwenye Peak yaani Mwisho. Ponzi ikifika Mwisho inaanza Kushuka Maana yake inakuwa Hasara Kwao.

Ikifika Hapo Kitaalamu inaitwa..."It's Time" au "D-Day".

Guess what?...BOOOOM..Wana wanayeyuka Huku wakiweweseka kiwendawazimu na Servers Zao.

Na Kuna Tofauti Kubwa Sana Kati ya hizi Models Hapa Chini...

1. Ponzi Schemes
2. Pyramid Schemes
3. MLM

Ponzi scheme inalandana sana na Pyramid Scheme ila HAZIFANANI (Similar but not identical).

MLM ni Legal Business Model Kwasababu Kuna Exchange of VALUE In Between Watu wanauza & Kununua Products na Zinasolve Matatizo ya watu.

Lakini MLM kama inaunganisha Watu Pekee Bila Kuuza Chochote kati kati Hiyo ni SCAM...

Anyway nimeona Tu niwasanue kidogo Wanangu Kwasababu Kuna Mtu Wangu wa Karibu aliwahi Kupigwa Kitambo so nikaingiaga Chimbo Kuhusu Hizi business Models so nazijua nje ndani.

Sema Kalynda wangepiga Hela Nyingi Zaidi Endapo wangetumia Mbinu inayoitwa "Piss Them Off and then Apologize Strategy"..

Yaani warudi Tena waombe msamaha Kwa Servers ku-Missbehave Kisha Baadhi walipwe Hela Zao, Watoe Shuhuda, Waendelee kualika More Investors, then Boooooom.

(Ndo nawasanua hivyo msipigwe Tena)

Anyway Ahsante Kwa Kusoma Mpaka Mwisho.

Namaste
Sawasawa 👍 👍
 
Back
Top Bottom