Jane Msowoya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 4,046
- 7,118
Heshima kwenu wakuu
Siku kadhaa nyuma niliweka andiko hapa lakutafuta mwekezaji kwenye biashara yangu, na nikapokea calls, SMS na Pms kadhaa zingine walitaka kujua nafanyaje fanyaje ili kuweza kuendeleza game na uzuri pia kuna wanaonifahamu physicaly so haikuwa ngumu kwao kuamini nilichoandika.
Mimi natumia CANVAS BUSINESS MODEL
Yenye vipengele 9, vipengele hivi kwa pamoja ndivyo vinavyobeba Biashara yako
1. Key Partners
Hawa ni watu ambao utashirikiana nao kufanikisha biashara yako mfano mimi naweza sema ni wauza malighafi, wakulima, nk
2. KEY ACTIVITIES
Hapa sasa biashara yako itakuwa inafanya nini? Mfano mimi nazalisha vipodozi.
3. KEY RESOURCES
Hapa ni vifaa gani au resources gani zitahitajika ili ufanikishe mfano mimi ni cash, machines, nk
4. VALUE PREPOSITION
Hapa sasa ni utofauti wako wewe na washindani wako, yaani utafanya nini ambacho kitaleta wateja kwako kutoka kwa washindani wako waje kwako.
5. CUSTOMER RELATIONSHIP
Hapa sasa ni mbinu gani utakazozitumia kuhakikisha unakuwa na mahusiano yasiyokoma na wateja wako, yaani wateja wasisahau uwepo wako kila watakapopata huduma.
6. CHANNELS
Utatumia channels gani kuwafikia tupo kwenye dunia ya tiktok ya IG ya websites nk so utatumia channel ipi (hapa uwe makini sana sana usije tumia whatsapp akati ni Biashara ya utalii)
7. CUSTOMER SEGMENT
Hapa sasa unamjua mteja wako ni nani mfano unauza madaftali ya watoto wa vidudu mtumiaji ni mtoto ila mteja wako ni mzazi (hapa nimuhimu sana kumjua mteja wako hapa ndipo utajua kipato cha mteja wako nk)
8. COST STRUCTURE
hapa sasa ndo utajua mwenendo mzima wa biashara yako na utatumia kiasi gani kuzalisha pisi ngapi,au kodi,mishahara nk
9.REVENUE STREAM
hapa ndo utajua sasa namna yakutengeneza pesa, yaani pesa itamzaaje mwenzake
LAKINI YOTE KWA YOTE
ZINGATIA FEEDBACK
Ni kipengele muhimu sana kwenye biashara yoyote ile,
Kuna aina mbili za feedback.
1. Feedback kutoka kwa wateja
2. Feedback kutoka kwa wazoefu wa biashara
Feedback kutoka kwa wateja zitakufanya ujue ni wapi unakosea kwenye bidhaa/huduma unayouza, wateja wanatarajia nini kutoka kwako, utaboreshaje huduma/bidhaa yako. Ndomana ni muhimu.
Feedback ya wazoefu wa biashara itakusaidia kukushape wew ambae unafanya biashara katika mipango yako, mbinu, uendeshaji, changamoto na utatuzi wake n.k. kuna muda unaweza kujiona uko sawa kwakila kitu kwasababu wew ndo muanzilishi wa biashara lakini kiuhalisia kuna vitu unakosea na kwasababu umejiwekea wewe ndo wewe huwezi kuskiliza thirdy party you will learn it in a hard way utachoma pesa mpaka uje kugundua kwamba ulikuwa unakosea sehmu ushaiva sana na hamu ya biashara huna tena so feedback from Outside is very important.
Jamani
Poleni kwa gazeti afu wale wajuaji wenzangu namie nilipokosea njooni msahihishe tu mimi sio mwalimu jamani just sharing kile ninachofanya mimi
Picha kwa udhamini sio kila Biashara ni startup
Salum Awadh
Siku kadhaa nyuma niliweka andiko hapa lakutafuta mwekezaji kwenye biashara yangu, na nikapokea calls, SMS na Pms kadhaa zingine walitaka kujua nafanyaje fanyaje ili kuweza kuendeleza game na uzuri pia kuna wanaonifahamu physicaly so haikuwa ngumu kwao kuamini nilichoandika.
Mimi natumia CANVAS BUSINESS MODEL
Yenye vipengele 9, vipengele hivi kwa pamoja ndivyo vinavyobeba Biashara yako
1. Key Partners
Hawa ni watu ambao utashirikiana nao kufanikisha biashara yako mfano mimi naweza sema ni wauza malighafi, wakulima, nk
2. KEY ACTIVITIES
Hapa sasa biashara yako itakuwa inafanya nini? Mfano mimi nazalisha vipodozi.
3. KEY RESOURCES
Hapa ni vifaa gani au resources gani zitahitajika ili ufanikishe mfano mimi ni cash, machines, nk
4. VALUE PREPOSITION
Hapa sasa ni utofauti wako wewe na washindani wako, yaani utafanya nini ambacho kitaleta wateja kwako kutoka kwa washindani wako waje kwako.
5. CUSTOMER RELATIONSHIP
Hapa sasa ni mbinu gani utakazozitumia kuhakikisha unakuwa na mahusiano yasiyokoma na wateja wako, yaani wateja wasisahau uwepo wako kila watakapopata huduma.
6. CHANNELS
Utatumia channels gani kuwafikia tupo kwenye dunia ya tiktok ya IG ya websites nk so utatumia channel ipi (hapa uwe makini sana sana usije tumia whatsapp akati ni Biashara ya utalii)
7. CUSTOMER SEGMENT
Hapa sasa unamjua mteja wako ni nani mfano unauza madaftali ya watoto wa vidudu mtumiaji ni mtoto ila mteja wako ni mzazi (hapa nimuhimu sana kumjua mteja wako hapa ndipo utajua kipato cha mteja wako nk)
8. COST STRUCTURE
hapa sasa ndo utajua mwenendo mzima wa biashara yako na utatumia kiasi gani kuzalisha pisi ngapi,au kodi,mishahara nk
9.REVENUE STREAM
hapa ndo utajua sasa namna yakutengeneza pesa, yaani pesa itamzaaje mwenzake
LAKINI YOTE KWA YOTE
ZINGATIA FEEDBACK
Ni kipengele muhimu sana kwenye biashara yoyote ile,
Kuna aina mbili za feedback.
1. Feedback kutoka kwa wateja
2. Feedback kutoka kwa wazoefu wa biashara
Feedback kutoka kwa wateja zitakufanya ujue ni wapi unakosea kwenye bidhaa/huduma unayouza, wateja wanatarajia nini kutoka kwako, utaboreshaje huduma/bidhaa yako. Ndomana ni muhimu.
Feedback ya wazoefu wa biashara itakusaidia kukushape wew ambae unafanya biashara katika mipango yako, mbinu, uendeshaji, changamoto na utatuzi wake n.k. kuna muda unaweza kujiona uko sawa kwakila kitu kwasababu wew ndo muanzilishi wa biashara lakini kiuhalisia kuna vitu unakosea na kwasababu umejiwekea wewe ndo wewe huwezi kuskiliza thirdy party you will learn it in a hard way utachoma pesa mpaka uje kugundua kwamba ulikuwa unakosea sehmu ushaiva sana na hamu ya biashara huna tena so feedback from Outside is very important.
Jamani
Poleni kwa gazeti afu wale wajuaji wenzangu namie nilipokosea njooni msahihishe tu mimi sio mwalimu jamani just sharing kile ninachofanya mimi
Picha kwa udhamini sio kila Biashara ni startup
Salum Awadh