Yani wewe ndio masaburi tena mwingereza kwa ufisadi wa nchi hii kuwa mzalendo ngumu nani afanye kazi ya kumpaka kobe polish.siku hizi bongo ktumia masaburi kufikiria ndio fasheni au?
acha kupiga...siyo muhimu kihivyo, mafisadi wanaotumia hela za nji wapige ili waendelee kuzitafuna hizo hela sifa ikishapanda!!!
Nikupe soft w yake.ndio nimeamua mkuu. ningekuwa mtaalam wa IT ningehack na kuvuruga kabisa hiyo sstm
Nikupe soft w yake.
wakuu habar.
muda mref hawa wanaharakat fek wananichefua sana, eti tupige kura, tuwape chakula. wahunituu. rasilimali ngapi hatujatumia? madini, mbuga, ardh.....mpaka tunatukanwa na cameroon. bulsht, sipigi kura mimi....
ndio nimeamua mkuu. ningekuwa mtaalam wa IT ningehack na kuvuruga kabisa hiyo sstm
wakuu habar.
muda mref hawa wanaharakat fek wananichefua sana, eti tupige kura, tuwape chakula. wahunituu. rasilimali ngapi hatujatumia? madini, mbuga, ardh.....mpaka tunatukanwa na cameroon. bulsht, sipigi kura mimi....
It can be done play your part
Kesho ngoja niende fish mobile ntakutumia code zake mkuu.nitumie kaka, usisahau user mannual
mnawasusia mateja madawa ya kulevya
mnawasusia mateja madawa ya kulevya
Karibu sana bia mkuu jackies hapa. Point sana kaka...acheni kumponda, ana express mawazo yake na mawazo ya kundi kubwa la watu wenye mawazo kama yake na mimi nikiwa mmoja wapo...tumieni nguvu ya hoja ku justify ni kwa kiasi gani Mlima Kilimanjaro unamsaidia, na ni kwa kiasi gani kwa kuupigia kura tija hyo itaongezeka na kuboresha maisha yake na ya watanzania wengne wa kawaida.