Sipendi mpenzi wangu akizama chumvini

Nyakwaratony

JF-Expert Member
Dec 21, 2011
573
140
Wadau naomba msaada,

Kiukweli sipendi mpenzi wangu akizama chumvini, sababu kuu ni kuwa akishazama anataka anikiss mdomoni. Aisee najisikia vibaya, kuna wakati nilimwambia sipendi ikawa ugomvi mpaka akakata mawasilino, nikamwomba msamaha ili kujua shida ni nini? Akaniambia nambania kuzama, yaani kuzama ndio ugonjwa wake.

Nakerwa na hii hali wanajamii forum naomba msaada wa mawazo, nifanyeje ili aache.
 
Sasa unatuambia sisi kwani kwani sisi ndio tunao ingia hapo chumvini kwako.
Hebu mwambie muhusika kwamba akiwa anaingia chumvini asije mdomoni.
Ila inaonekana we mchafu sana hadi hujipendi we mwenyewe.
Yani hupendi utamu wako jamani wengine wataupendaje sasa
 
Sasa unafurahia azame chumvini tena chumvini kwako mwenyewe! Una wasi wasi na usafi wa huko machimboni kwenye chumvi!? Kama usafi wako huko ni bomba iweje tena ukatae asikukiss mdomoni akishatoka machimboni!? Unaona kinyaa eh! Mh! Makubwa haya.

Wadau naomba msaada,

Kiukweli sipendi mpenzi wangu akizama chumvini, sababu kuu ni kuwa akishazama anataka anikiss mdomoni. Aisee najisikia vibaya, kuna wakati nilimwambia sipendi ikawa ugomvi mpaka akakata mawasilino, nikamwomba msamaha ili kujua shida ni nini? Akaniambia nambania kuzama, yaani kuzama ndio ugonjwa wake.

Nakerwa na hii hali wanajamii forum naomba msaada wa mawazo, nifanyeje ili aache.
 
Wadau naomba msaada,

Kiukweli sipendi mpenzi wangu akizama chumvini, sababu kuu ni kuwa akishazama anataka anikiss mdomoni. Aisee najisikia vibaya, kuna wakati nilimwambia sipendi ikawa ugomvi mpaka akakata mawasilino, nikamwomba msamaha ili kujua shida ni nini? Akaniambia nambania kuzama, yaani kuzama ndio ugonjwa wake.

Nakerwa na hii hali wanajamii forum naomba msaada wa mawazo, nifanyeje ili aache.
Ndio umeamua kuja kunianika huku,sasa nakwambia nikizama chumvini sitoki hadi ukojoe Mara 7.Kuanzia kesho naanza kuzama tigoni.
Sipendagi Ujinga mie.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom