johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,241
- 142,414
Ni Ushauri tu
Kwa mfano nyomi ya Chadema Kanda ya Nyasa na hata hapo Arusha nikizoom nawaona Wanaccm wengi tu
Mikutano ya hadhara ni kwa Wananchi Wote sasa haya masare yanalimit wasio Wanaccm kuhudhuria na katika Hili Chadema wamekuwa wajanja hawavai masweta yao ya rangi za Buchani
Nawasilisha
cc: Bwashee Daudi Mchambuzi
Kwa mfano nyomi ya Chadema Kanda ya Nyasa na hata hapo Arusha nikizoom nawaona Wanaccm wengi tu
Mikutano ya hadhara ni kwa Wananchi Wote sasa haya masare yanalimit wasio Wanaccm kuhudhuria na katika Hili Chadema wamekuwa wajanja hawavai masweta yao ya rangi za Buchani
Nawasilisha
cc: Bwashee Daudi Mchambuzi