Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,108
- 2,510
Let say, Mbunge kaenguliwa ubunge na uamuzi wa Mahakama kwa sababu za kupata ushindi kwa njia za hila dhidi ya mpinzani wake katika zoezi zima la uchaguzi, kwanini yule aliyeshindwa asichukue nafasi ya ubunge moja kwa moja? kwa maana aliyeshindwa kwa hila bila hila angeshinda moja kwa moja!