Sio Siri Serikali inajihujumu yenyewe!!

Idofu

Senior Member
Oct 24, 2022
108
187
Pale Mahakama ya Kisutu Kuna kesi nyingi za Uhujumu Uchumi zinazowahusu watendaji mbalimbali wa Serikali huku zikiendelea kutajwa tu huku Upelelezi ukiwa haujakamilika!!

Kuna watendaji kadhaa waliokuwa na nafasi kubwa tu Serikali wameshtakiwa kwa Uhujumu Uchumi tangu Mwaka 2016 na 2017 mpaka leo kesi zao zinatajwa tu kwa kuwa Upelelezi haujakamilika,huku wakiendelea kupokea mishahara yao ambayo ni mikubwa tu!!

Sheria za utumishi zikoje?, Kwenye mifano hii,ni kwa nini Serikali hazitumii utaratibu wa ndani ya taasisi zao za kuwachukulia hatua za kinidhamu kwanza ili ikidhibitika Wana tuhuma waachishwe Kazi?,

Kumpeleka mtu mahakamani huku anaendelea kupata mshahara kwa kila mwezi,Serikali haioni inajihujumu yenyewe?,au kama wameshindwa kukamilisha Upelelezi kwa nini wasirudishwe makazini waendelee na majukumu yao?
 
Hivi ndugu hujui 2019 n 2020 chaguzi zilivurugwa kwa kutumia vyombo vya Dola? Hivi hujui kuwa mahakama zinatumika kisiasa? Ndani ya CCM hakuna mwenye moral authority ya kumnyooshoa mtu kidole. Mkurugenzi wa Emura mme wake na Betina( spika wa bunge) alivifungia vituo kibao vya GBP kwa miezi sita kwa kosa la kuficha mafuta na kuleta taharuki sasa niambie ni kituo gani kilisimama kuuza mafuta hata kwa wiki moja tu. Tuhuma za Bashite kwa nchi zilizo serious usingemuona tena anasogeleana na viongozi wakuu wa nchi.
 
Pale Mahakama ya Kisutu Kuna kesi nyingi za Uhujumu Uchumi zinazowahusu watendaji mbalimbali wa Serikali huku zikiendelea kutajwa tu huku Upelelezi ukiwa haujakamilika!!

Kuna watendaji kadhaa waliokuwa na nafasi kubwa tu Serikali wameshtakiwa kwa Uhujumu Uchumi tangu Mwaka 2016 na 2017 mpaka leo kesi zao zinatajwa tu kwa kuwa Upelelezi haujakamilika,huku wakiendelea kupokea mishahara yao ambayo ni mikubwa tu!!

Sheria za utumishi zikoje?, Kwenye mifano hii,ni kwa nini Serikali hazitumii utaratibu wa ndani ya taasisi zao za kuwachukulia hatua za kinidhamu kwanza ili ikidhibitika Wana tuhuma waachishwe Kazi?,

Kumpeleka mtu mahakamani huku anaendelea kupata mshahara kwa kila mwezi,Serikali haioni inajihujumu yenyewe?,au kama wameshindwa kukamilisha Upelelezi kwa nini wasirudishwe makazini waendelee na majukumu yao?
Nchi hii ina vituko hata gaidi anaruhusiwa kuingia ikulu!
 
Mkuu, una uhakika wa kinuwa chai leo? Isijekuwa unaandika kwa stress
Siku Moja Moja uwe unatembelea mahakamani,Just kuona tu Mambo yanavyoenda!!

Pale Kisutu,Kuna kesi ya watumishi Fulani wa bank kubwa tu hapa nchini wako Kama 20 hivi,walishtakiwa 2018 au 2019 mpaka leo Upelelezi haujakamilika Lakini wanaendelea Kulipwa mishahara tu!!


Sio hao tu,Kuna Maengenear wa TAZARA Kama sijakosea wako Kama 5 hivi,kesi zao zinaenda Mwaka 8 huu,na wengine muda wao wa kustaafu ulishafika bado wako wanaripoti kila mwezi!!
 
Siku Moja Moja uwe unatembelea mahakamani,Just kuona tu Mambo yanavyoenda!!

Pale Kisutu,Kuna kesi ya watumishi Fulani wa bank kubwa tu hapa nchini wako Kama 20 hivi,walishtakiwa 2018 au 2019 mpaka leo Upelelezi haujakamilika Lakini wanaendelea Kulipwa mishahara tu!!


Sio hao tu,Kuna Maengenear wa TAZARA Kama sijakosea wako Kama 5 hivi,kesi zao zinaenda Mwaka 8 huu,na wengine muda wao wa kustaafu ulishafika bado wako wanaripoti kila mwezi!!
Jibu ni kwamba hizo ni kesi za fitna, hazina ushahidi
 
Jibu ni kwamba hizo ni kesi za fitna, hazina ushahidi
Kama zina ushahidi,kwa nini haziishi?

Yaani mtu unampeleka mahakamani halafu kesi unaiendesha kwa miaka 5 huku mtuhumiwa anaendelea kupokea mshahara?, wewe unaona ni sawa hiyo!!
 
Pale Mahakama ya Kisutu Kuna kesi nyingi za Uhujumu Uchumi zinazowahusu watendaji mbalimbali wa Serikali huku zikiendelea kutajwa tu huku Upelelezi ukiwa haujakamilika!!

Kuna watendaji kadhaa waliokuwa na nafasi kubwa tu Serikali wameshtakiwa kwa Uhujumu Uchumi tangu Mwaka 2016 na 2017 mpaka leo kesi zao zinatajwa tu kwa kuwa Upelelezi haujakamilika,huku wakiendelea kupokea mishahara yao ambayo ni mikubwa tu!!

Sheria za utumishi zikoje?, Kwenye mifano hii,ni kwa nini Serikali hazitumii utaratibu wa ndani ya taasisi zao za kuwachukulia hatua za kinidhamu kwanza ili ikidhibitika Wana tuhuma waachishwe Kazi?,

Kumpeleka mtu mahakamani huku anaendelea kupata mshahara kwa kila mwezi,Serikali haioni inajihujumu yenyewe?,au kama wameshindwa kukamilisha Upelelezi kwa nini wasirudishwe makazini waendelee na majukumu yao?
Una uhakika mtumishi aliyeshtakiwa kwa Uhujumu Uchumi anaendelea kilipwa mishahara na stahiki zingine? Una uhakika?
 
Siku Moja Moja uwe unatembelea mahakamani,Just kuona tu Mambo yanavyoenda!!

Pale Kisutu,Kuna kesi ya watumishi Fulani wa bank kubwa tu hapa nchini wako Kama 20 hivi,walishtakiwa 2018 au 2019 mpaka leo Upelelezi haujakamilika Lakini wanaendelea Kulipwa mishahara tu!!


Sio hao tu,Kuna Maengenear wa TAZARA Kama sijakosea wako Kama 5 hivi,kesi zao zinaenda Mwaka 8 huu,na wengine muda wao wa kustaafu ulishafika bado wako wanaripoti kila mwezi!!
Nchi ina sheria za HOVYO sana ndio maana WANANCHI TUNATAKA KATIBA MPYA ILI KIONDOA UPUMBAVU HUU

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom