Robson Mulabwa
Senior Member
- May 9, 2011
- 119
- 30
huo ni mtazamo wako kwa upeo wako mdogo!
chama makini cha siasa lazima kuwe na changamoto kuonyesha ukomavu!
ishu ni jinsi gani chadema inakwenda kukabiliana na hizo changamoto!
unatakiwa kutumia kichwa kufikiri kabla ya kupost
hahaha kwa CDM ni CHANGAMOTO ila CCM matatizo acheni ushabiki na kupoteza mda wenu bure