Tunawezaje kujiunga?Kazi nzuri RSA.. Kumbuken RSA ni kama JF kila mwananchi anaweza kuwa trafiki au polisi..
Kula group za watsapp telegram na fb.
Ukishareport kama hivyo sekunde hio hio harua zinachukuliwa
Du u u! Hiyo video, nikiiangalia natetemeka,kumbe wapo wengi? Mungu asiwape magari wauaji hawa.Hila haka kawimbo hata mie ningeachia usukani
Ndio unaongea nini Mkuu? Unatetea huu wehu?Gari haikua kwenye speed lakini
du wapi hukoMimi simlaumi dereva. Huku kuna nesi aliacha sindano t.koni akaanza kucheza huu wimbo, ilikua ringtone ya simu ya mgonjwa...
bombardier wanaweza kuna auto pilot, pilot anaacha usukani anakuja wajulia hali abiria wake, lakini ni pake inapokuwa katika anga la kimataifaWacha mheshimiwa wetu kichwa chake kimuume tu,anakazi sana kuinyoosha nchi yetu .............Cpati picha ndo ingekuwa kwenye Bombadia zetu
Dereva huyo ambaye ameonekana kwenye video akiwa anaendesha gari aina ya Coaster ambayo inafanya safari zake Dodoma kwenda itigi akiwa anafanya kitendo cha hatari cha kuacha gari likiwa kwenye mwendo na kisha yeye kusimama na kuanza kucheza muziki huo akamatwa.
Kesho atapandishwa mahakamani kujibu tuhuma zinazo mkabili yeye pamoja na wenzake ambao alikuwa nao kwenye Gari hilo.
Picha chini ni taarifa iliyotolewa na ROAD SAFETY AMBASSADORS(RSA)baada ya dereva huyo kukamatwa!
View attachment 443121
Hawa ndio wahusika walio kuwepo kwenye tukio hilo..
unaona sasa, miafrika ndivyo tulivyo, ishaweka siasaHuyu dereva anawakilisha akili halisi ya Bavicha