Wanawake Mjini Singida wapo katika harakati za kumtafuta na kumpiga Askari mmoja wanayemtuhumu kuwa amekuwa na tabia ya kuwaibia waume zao, na wanapobaini anawabambikia kesi na kuwatishia kuwakamata. Masuala ya Utawala yameunganishwa na masuala binafsi ya binti huyu anaepiga picha mbalimbali za na vigogo wa kisiasa mkoani humo, na wafanyabiashara wenye pesa tunaweka moja tu kwa sababu za kimaadili. Mamalaka husika zimsaidie aachane na tabia hii isiyo ya kiuungwana katika jamii.