Sina imani na mwenendo wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Hennes kolon

JF-Expert Member
Jan 13, 2023
673
1,287
wanabodi, si mnakumbuka bunge hilihili lilipitisha ule mkataba wa makubaliano ya awali ya DP world tena kwa kuupa promo kibao na kuusafisha, ili hali mkataba niwa hovyo.

Sasa najiuliza je hawakuona!?au walizidiwa maarifa !mpaka Rais akalalamika juu ya baadhi ya vipengele vya huo mkataba ni vya ajabu.

Je, bunge na spika hawakuviona? au waliamua kujitoa ufahamu? Leo hii mmeskia wenyewe bunge halijaafiki kuhusu ombi la serikali la kufanya marekebisho ya sheria za usimamizi wa raslimali za Tanzania ya mwaka 2017, lengo la ombi la serikali kutaka kufanyike mabadiliko ya sheria za usimamizi wa maliasili ni kutaka kuufanya mkataba ule u fit na sheria maana ulikuwa unakinzana na sheria zetu za usimamizi wa maliasili (bandari) za mwaka 2017.

Swali langu kwa bunge letu, ni nini kimewafanya wabunge wetu wajue ni hatari kubadili/kufanya marekebisho ya hii sheria ya 2017 ya usimamizi wa maliasili!? na wakati huko nyuma tayari walisharidhia ule mkataba mbovu wa Dp world?

Kwa kweli bunge langu linanichanganya, linajichanganya, limetuathiri watanganyika na watanzania kisaikolojia. Nakosa imani kabisa kuanzia Sasa na bunge langu.

NB: Nawashukuru watanganyika wote waliojivika ushujaa kujitoa kuupigia kelele huu mkataba, nadiriki kusema bila makelele yao huenda bunge langu hata hayo maombi ya serikali juu ya kufanya marekebisho ya sheria hizi za 2017 za usimamizi wa raslimali yangepitishwa tena kwa promo nzurinzuri na matarumbeta ya pongezi lukuki.

Mwenyezi Mungu atuwezeshe tufike salama. Aaamen!
 
Wameogopa kujiweka kwenye upande mweusi wa historia! Historia ingeorodhesha majina ya wabunge waliorekebisha sheria ili iende sambamba na mkataba walioupitisha huku ukiwa unakinzana na sheria!! Angalau tupongeze kwa wabunge wetu kuanza kuheshimu sauti ya dhamiri zao wenyewe!!
 
Wameogopa kujiweka kwenye upande mweusi wa historia! Historia ingeorodhesha majina ya wabunge waliorekebisha sheria ili iende sambamba na mkataba walioupitisha huku ukiwa unakinzana na sheria!! Angalau tupongeze kwa wabunge wetu kuanza kuheshimu sauti ya dhamiri zao wenyewe!!
Tuwapongeze wapumbavu? Kwa lipi?? Kwa sababu wameona Wenye akili wamekataa kunyamaza?
 
wanabodi, si mnakumbuka bunge hilihili lilipitisha ule mkataba wa makubaliano ya awali ya DP world tena kwa kuupa promo kibao na kuusafisha, ili hali mkataba niwa hovyo. Sasa najiuliza je hawakuona au walizidiwa maarifa . mpaka rais akalalamika juu ya baadhi ya vipengele vya huo mkataba ni vya ajabu. je bunge na spika hawakuviona !? au waliamua kujitoa ufahamu!?
Leo hii mmeskia wenyewe bunge halijaafiki kuhusu ombi la serikali la kufanya marekebisho ya sheria za usimamizi wa raslimali za Tanzania ya mwaka 2017.lengo la ombi la serikali kutaka kufanyike mabadiriko ya sheria za usimamizi wa maliasili ni kutaka kuufanya mkataba ule u fit na sheria , maana ulikuwa unakinzana na sheria zetu za usimamizi wa maliasili (bandari) za mwaka 2017 .
swali langu , kwa bunge letu , ni Nini kimewafanya wabunge wetu wajue ni hatari kubadili/kufanya marekebisho ya hii sheria ya 2017 ya usimamizi wa maliasili!? na wakati huko nyuma tayari walisharidhia ule mkataba mbovu wa Dp world!?
kwa kweli bunge langu
✓linanichanganya
✓linajichanganya
✓limetuadhiri watanganyika na watanzania kisaikolojia
✓nakosa imani kabisa kuanzia Sasa na bunge langu.

NB. nawashukuru watanganyika wote waliojivika ushujaa kujitoa kuupigia kelele huu mkataba, nadiriki kusema bila makelele yao huenda bunge langu , hata hayo maombi ya serikali juu ya kufanya marekebisho ya sheria hizi za 2017 za usimamizi wa raslimali yangepitishwa tena kwa promo nzurinzuri na matarumbeta ya pongezi lukuki.

Mwenyazi Mungu , atuwezeshe tufike salama. aaamen!
Walioheshimiwa ni wananchi siyo hao wabunge.

Bunge la sasa linaweza kupitisha chochote bila hata kusoma nini kimeandikwa ndani yake lile ni kundi la Nyumbu siyo wabunge
 
Mm sina imani nalo tanganyika limekua la chama kimoja. Fisiem ni Fisiem tu
 
Hilo bunge linajifanya limetaka hilo takwa la serikali ili kuleta hadaa kwa umma kuwa bunge ni huru. Ukweli ni kuwa serikali ndio iachane na hilo jambo kwa sasa maana kelele zimekuwa nyingi.

Kwahiyo serikali imeona iliagize hilo bunge kibogoyo lijifanye kukataa ili ionekane serikali imetii maagizo ya bunge. Lakini ukweli ni kuwa hilo bunge kibogoyo halina uwezo wowote wa kupinga takwa la serikali.
 
wanabodi, si mnakumbuka bunge hilihili lilipitisha ule mkataba wa makubaliano ya awali ya DP world tena kwa kuupa promo kibao na kuusafisha, ili hali mkataba niwa hovyo.

Sasa najiuliza je hawakuona au walizidiwa maarifa mpaka Rais akalalamika juu ya baadhi ya vipengele vya huo mkataba ni vya ajabu.

Je, bunge na spika hawakuviona? au waliamua kujitoa ufahamu? Leo hii mmeskia wenyewe bunge halijaafiki kuhusu ombi la serikali la kufanya marekebisho ya sheria za usimamizi wa raslimali za Tanzania ya mwaka 2017, lengo la ombi la serikali kutaka kufanyike mabadiliko ya sheria za usimamizi wa maliasili ni kutaka kuufanya mkataba ule u fit na sheria maana ulikuwa unakinzana na sheria zetu za usimamizi wa maliasili (bandari) za mwaka 2017.

Swali langu kwa bunge letu, ni nini kimewafanya wabunge wetu wajue ni hatari kubadili/kufanya marekebisho ya hii sheria ya 2017 ya usimamizi wa maliasili!? na wakati huko nyuma tayari walisharidhia ule mkataba mbovu wa Dp world?

Kwa kweli bunge langu linanichanganya, linajichanganya, limetuathiri watanganyika na watanzania kisaikolojia. Nakosa imani kabisa kuanzia Sasa na bunge langu.

NB: Nawashukuru watanganyika wote waliojivika ushujaa kujitoa kuupigia kelele huu mkataba, nadiriki kusema bila makelele yao huenda bunge langu hata hayo maombi ya serikali juu ya kufanya marekebisho ya sheria hizi za 2017 za usimamizi wa raslimali yangepitishwa tena kwa promo nzurinzuri na matarumbeta ya pongezi lukuki.

Mwenyezi Mungu atuwezeshe tufike salama. Aaamen!
Viva TEC Vivaa
 
wanabodi, si mnakumbuka bunge hilihili lilipitisha ule mkataba wa makubaliano ya awali ya DP world tena kwa kuupa promo kibao na kuusafisha, ili hali mkataba niwa hovyo.

Sasa najiuliza je hawakuona au walizidiwa maarifa mpaka Rais akalalamika juu ya baadhi ya vipengele vya huo mkataba ni vya ajabu.

Je, bunge na spika hawakuviona? au waliamua kujitoa ufahamu? Leo hii mmeskia wenyewe bunge halijaafiki kuhusu ombi la serikali la kufanya marekebisho ya sheria za usimamizi wa raslimali za Tanzania ya mwaka 2017, lengo la ombi la serikali kutaka kufanyike mabadiliko ya sheria za usimamizi wa maliasili ni kutaka kuufanya mkataba ule u fit na sheria maana ulikuwa unakinzana na sheria zetu za usimamizi wa maliasili (bandari) za mwaka 2017.

Swali langu kwa bunge letu, ni nini kimewafanya wabunge wetu wajue ni hatari kubadili/kufanya marekebisho ya hii sheria ya 2017 ya usimamizi wa maliasili!? na wakati huko nyuma tayari walisharidhia ule mkataba mbovu wa Dp world?

Kwa kweli bunge langu linanichanganya, linajichanganya, limetuathiri watanganyika na watanzania kisaikolojia. Nakosa imani kabisa kuanzia Sasa na bunge langu.

NB: Nawashukuru watanganyika wote waliojivika ushujaa kujitoa kuupigia kelele huu mkataba, nadiriki kusema bila makelele yao huenda bunge langu hata hayo maombi ya serikali juu ya kufanya marekebisho ya sheria hizi za 2017 za usimamizi wa raslimali yangepitishwa tena kwa promo nzurinzuri na matarumbeta ya pongezi lukuki.

Mwenyezi Mungu atuwezeshe tufike salama. Aaamen!
Kwa kweli bunge langu linanichanganya, linajichanganya, limetuathiri watanganyika na watanzania kisaikolojia. Nakosa imani kabisa kuanzia Sasa na bunge langu.
 
wanabodi, si mnakumbuka bunge hilihili lilipitisha ule mkataba wa makubaliano ya awali ya DP world tena kwa kuupa promo kibao na kuusafisha, ili hali mkataba niwa hovyo.

Sasa najiuliza je hawakuona au walizidiwa maarifa mpaka Rais akalalamika juu ya baadhi ya vipengele vya huo mkataba ni vya ajabu.

Je, bunge na spika hawakuviona? au waliamua kujitoa ufahamu? Leo hii mmeskia wenyewe bunge halijaafiki kuhusu ombi la serikali la kufanya marekebisho ya sheria za usimamizi wa raslimali za Tanzania ya mwaka 2017, lengo la ombi la serikali kutaka kufanyike mabadiliko ya sheria za usimamizi wa maliasili ni kutaka kuufanya mkataba ule u fit na sheria maana ulikuwa unakinzana na sheria zetu za usimamizi wa maliasili (bandari) za mwaka 2017.

Swali langu kwa bunge letu, ni nini kimewafanya wabunge wetu wajue ni hatari kubadili/kufanya marekebisho ya hii sheria ya 2017 ya usimamizi wa maliasili!? na wakati huko nyuma tayari walisharidhia ule mkataba mbovu wa Dp world?

Kwa kweli bunge langu linanichanganya, linajichanganya, limetuathiri watanganyika na watanzania kisaikolojia. Nakosa imani kabisa kuanzia Sasa na bunge langu.

NB: Nawashukuru watanganyika wote waliojivika ushujaa kujitoa kuupigia kelele huu mkataba, nadiriki kusema bila makelele yao huenda bunge langu hata hayo maombi ya serikali juu ya kufanya marekebisho ya sheria hizi za 2017 za usimamizi wa raslimali yangepitishwa tena kwa promo nzurinzuri na matarumbeta ya pongezi lukuki.

Mwenyezi Mungu atuwezeshe tufike salama. Aaamen!
Bunge hili limetupitusha kwenye mambo makubwa mawili .
Mosi ni issue ya marekebisho ya Kikokoto kuwa 33% ya malipo ya mkupuo walipitisha kwa makofi na vifijo Leo wabunge wale wale wameanza kukutana na wasitaafu huko majimboni na vilio ni vingi maswali wanayo uliza ni kama hawakujua maamuzi yao ya mkurupuko ni Tatizo.
 
wanabodi, si mnakumbuka bunge hilihili lilipitisha ule mkataba wa makubaliano ya awali ya DP world tena kwa kuupa promo kibao na kuusafisha, ili hali mkataba niwa hovyo.

Sasa najiuliza je hawakuona au walizidiwa maarifa mpaka Rais akalalamika juu ya baadhi ya vipengele vya huo mkataba ni vya ajabu.

Je, bunge na spika hawakuviona? au waliamua kujitoa ufahamu? Leo hii mmeskia wenyewe bunge halijaafiki kuhusu ombi la serikali la kufanya marekebisho ya sheria za usimamizi wa raslimali za Tanzania ya mwaka 2017, lengo la ombi la serikali kutaka kufanyike mabadiliko ya sheria za usimamizi wa maliasili ni kutaka kuufanya mkataba ule u fit na sheria maana ulikuwa unakinzana na sheria zetu za usimamizi wa maliasili (bandari) za mwaka 2017.

Swali langu kwa bunge letu, ni nini kimewafanya wabunge wetu wajue ni hatari kubadili/kufanya marekebisho ya hii sheria ya 2017 ya usimamizi wa maliasili!? na wakati huko nyuma tayari walisharidhia ule mkataba mbovu wa Dp world?

Kwa kweli bunge langu linanichanganya, linajichanganya, limetuathiri watanganyika na watanzania kisaikolojia. Nakosa imani kabisa kuanzia Sasa na bunge langu.

NB: Nawashukuru watanganyika wote waliojivika ushujaa kujitoa kuupigia kelele huu mkataba, nadiriki kusema bila makelele yao huenda bunge langu hata hayo maombi ya serikali juu ya kufanya marekebisho ya sheria hizi za 2017 za usimamizi wa raslimali yangepitishwa tena kwa promo nzurinzuri na matarumbeta ya pongezi lukuki.

Mwenyezi Mungu atuwezeshe tufike salama. Aaamen!
Sina imani na chochote kinachowahusisha ccm
 
wanabodi, si mnakumbuka bunge hilihili lilipitisha ule mkataba wa makubaliano ya awali ya DP world tena kwa kuupa promo kibao na kuusafisha, ili hali mkataba niwa hovyo.

Sasa najiuliza je hawakuona au walizidiwa maarifa mpaka Rais akalalamika juu ya baadhi ya vipengele vya huo mkataba ni vya ajabu.

Je, bunge na spika hawakuviona? au waliamua kujitoa ufahamu? Leo hii mmeskia wenyewe bunge halijaafiki kuhusu ombi la serikali la kufanya marekebisho ya sheria za usimamizi wa raslimali za Tanzania ya mwaka 2017, lengo la ombi la serikali kutaka kufanyike mabadiliko ya sheria za usimamizi wa maliasili ni kutaka kuufanya mkataba ule u fit na sheria maana ulikuwa unakinzana na sheria zetu za usimamizi wa maliasili (bandari) za mwaka 2017.

Swali langu kwa bunge letu, ni nini kimewafanya wabunge wetu wajue ni hatari kubadili/kufanya marekebisho ya hii sheria ya 2017 ya usimamizi wa maliasili!? na wakati huko nyuma tayari walisharidhia ule mkataba mbovu wa Dp world?

Kwa kweli bunge langu linanichanganya, linajichanganya, limetuathiri watanganyika na watanzania kisaikolojia. Nakosa imani kabisa kuanzia Sasa na bunge langu.

NB: Nawashukuru watanganyika wote waliojivika ushujaa kujitoa kuupigia kelele huu mkataba, nadiriki kusema bila makelele yao huenda bunge langu hata hayo maombi ya serikali juu ya kufanya marekebisho ya sheria hizi za 2017 za usimamizi wa raslimali yangepitishwa tena kwa promo nzurinzuri na matarumbeta ya pongezi lukuki.

Mwenyezi Mungu atuwezeshe tufike salama. Aaamen!
BUNGE GANI HILI HILI LA CHAMA KIMOJA?BUNGE LINALOSIMAMIWA NA SERIKALI BADALA YA LENYEWE KUISIMAMIA SERIKALI?
 
Hilo bunge linajifanya limetaka hilo takwa la serikali ili kuleta hadaa kwa umma kuwa bunge ni huru. Ukweli ni kuwa serikali ndio iachane na hilo jambo kwa sasa maana kelele zimekuwa nyingi.

Kwahiyo serikali imeona iliagize hilo bunge kibogoyo lijifanye kukataa ili ionekane serikali imetii maagizo ya bunge. Lakini ukweli ni kuwa hilo bunge kibogoyo halina uwezo wowote wa kupinga takwa la serikali.
Bora kibogoyo anaweza kunywa hata mchuzi,nlakini lile mmm aibu tu kuna yule mmoja alikuwa anaongea mpaka mdomoni utazani mna bui bui.
 
Back
Top Bottom