Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,411
- 79,657
Kila la kheriNdoa Zina changamoto Sana...mm team ruge aisee kuoa pembeni kwanza unatafta pesa then unatumia kwa watoto wazuri unaweka mbegu uzeeni unachukua Kama kapuya na mengi
Kila la kheriNdoa Zina changamoto Sana...mm team ruge aisee kuoa pembeni kwanza unatafta pesa then unatumia kwa watoto wazuri unaweka mbegu uzeeni unachukua Kama kapuya na mengi
Hahahahahahahah thanks mdadaKila la kheri
Mkuu nataka nikuhakikishie iliMkuu umeenda sawa na upeo wangu, i also urge vijana wenzangu. Mwanamke wa kuoa kwa zama za sasa hakikisha umeishi nae for not less than 1 and a half year ndani ya kuta 4.
Ndani ya muda huo mwanamke ata awe mnafiki vipi atakuwa ameshakuwa comfortable na wewe kiasi cha kudhihirisha tabia zake halisi kwa asilimia kubwa na pia utakuwa umeshafumbuliwa kama utazimudu ama la! Acheni kukurupuka kisha mnakuja kulalama humu.
Pole Sana mkuu mimi sijaoa lakini naweza kukushauri kitu, Penda Yale madhaifu yake, yaani chukulia Kama yeye kuwa na madhaifu Ni kitu Cha pekee na una bahati kuwa nae.Thats all. Usitake kumbadilisha huwezi, narudia Tena huwezi kumbadilisha, tengeneza lifestyle flani yeye ndo abadilike, aone kupitia wewe.I I ws thinking of divorcing her.....! Lkn namuonea huruma sana mwanangu, with that kind of woman, he will not live the way I want to prosper in his life. Naumia mno na hii kitu, kwa kuwa napenda mtoto pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa wanaodate ma jobless ndio haifai ila kwa mwanamke mwenye kazi inakuwa rahisi.Hiyo njia ni nzuri lakini si wote watakubali. Labda awe na wazazi ambao hawana msimamo
Umeniongezea kitu japo sijaoa nitazingatia haya.Asanterudi kwenye misingi ya mahusiano yenu, je mliijenga ndoa katika misingi ya imani au?
makosa huanzia hapa, fanya yafuatayo
1. jifuze kuomba naye kila siku..
2. someni maandiko matakatifu mkiwa pamoja
3. tenga siku mwambie tufunge maombi tuombeane, ambie aseme kwanza nini anatamani Mungu ambadilishe mumewe (asichokipenda kwako) na wewe mwambie ajue unaomba Mungu abadilishe nini kwake.. (nb. usitaje vingi sana hata viwili vinatosha)
Fanya hivo hata kwa mwezi mzima utaona matokeo..
Ndoa sio nguvu mkuu utaumia
Hahahahah umenimalizaa! Ati nini!??? Watasonga ugali😀😀😀Mkuu nataka nikuhakikishie ili
Matatizo ya ndoa za leo ni MATOKEO YA WATU KUACHA MISINGI YA MAHUSIANO UA NDOA.
Zamani sana, Ndoa zilidumu. Kijana alitoka masomon, aliporudi nyumban, wazazi walimwambia "Kaoe binti wa fulani" nabinti naye kwao aliambiwa "Mchumba wako yupo" ivo kila mmoja alijiandaa kwa ajili ya mwenzake namambo yalikua motooo hamna aliyetaka kuwaaibisha wazazi...... Hizi zama zikapita.
Zikaja zama za Uchumba kisha ndoa , hapa Ililazimu watu kuishi kichumba kwa muda usopungua mwaka mmoja mpaka miwili , yaaan kijana anahangaika kumjua mwenzake, na binti anahangaika kujua madhaifu ya mwenzake..so mpaka wanaona wanakua wamejuana namna hata ya kubebana.
Ebwanaaaa Zikaja Nyakati zetu izi sasa, zakukutana FB/JF/njiani/club/kazin n.k.. Demu umempata leo. Umemgonga. Kakukatikia mauno wao wanasemaauno uzazi,miez miwili ndoa
Hawa kwenye ndoa, hawatosonga mbele sanasana watasonga ugali.
Kwaufupi kwasasa MAPENZI HAYANA RADHA NA YAMEKUA MEPESI SANAAAAA .
"In Good times ,Friends know you BUT in Sorrow, you know them "
Mpeleke kwa mshenga
Mimi wewe ukisemaga neno , roho yangu inahisi kupona kabisa.We all know unachotaka kukifanya.
Stop trying to blame it on your wife. At least have the decency ya kukaa nae chini first na kutafuta suluhisho.
1. Ni mchafu? Have you tried helping her in some of the chores? Ama ukishakupa miguu juu na rimoti?
2. Unampa ushauri wa maendeleo je mtaji umempa?
3.Mzito kitandani? Wameanza leo? Ashinde akicharakika kazi za nyumbani na siku atoke sarakasi sio?
4. Ana matumizi makubwa kama gani labda. Time is changing, everything is changing, vitu vinazidi kupanga bei.
Conclusion. Una lako jambo usisingizie mkeo.
sure mkuu ,nikusonga ugali tu basi.Hahahahah umenimalizaa! Ati nini!??? Watasonga ugali
NkoiTANGAZO.
mimi msukuma.com natangaza kuwa suala la kuoa nimelisogeza mbele mpaka pale wana ndoa watakapoanza kusifia ndoa zao.
Good for uMtu mpaka unaingie kwenye ndoa naamini umemchunguza mwenza vya kutosha na unajua tabia zake, uchumba ni wa muda mrefu na mtu kama ana fake utamjua tu labda ukute wamefahamiana miezi sita wakatangaza ndoa pasipo kujiridhisha na tabia na mwenendo wa kila mmoja
Lakini pia love wind everything..you can change because of love
Nakumbuka nilipoanza mahusiano na mume wangu kabla hatujaona aliniambia hapendi mwanamke.mwenye makudi ya marafiki...nilikua na marafiki balaa yaani chuo kila kona nikipita najulikana na ukija hostel kwangu utakuta wamejaa kila jinsia wa kike na wa kiumr...na sim yangu ilikua busy kuwasiliana na marafiki
Nilianza kupunguza marafiki, nilianza kuacha kuspend muda mwing na marafiki au keenda outing na marafiki, mpaka end of the day nilijikuta nimezoea tabia ya kupenda kujisomea au kufanya mambo mengine na muda mwingi nilikua naspend nae na kama hayupo basi ntakaa hostel ntasoma au ntaenda nyumbani
Marafiki nao waliona nimebadilika kwa hiyo kwe ye ratiba zao wakawa hawaniweki
Na mpaka leo tupo kwenye ndoa mwaka wa tisa nimeweza kuishi vile alivyopenda...ni mengi ambayo alihitaji nibafilike na mimi pia kuna ambayo nilitaka abadilike..ilichukua muda lakini now we are a perfect couple
Makwaruzano hayakosekani lakini tunazungumza yanaisha na maisha yanaendelea
Kama kweli mwanamke anampenda huyo mwanaume atabadilika tu..mapenzi yana nguvu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unajua mlivyo mabingwa wa kupretend?????kuna kiumbe mnafiki na bingwa wa kuficha makucha km mwanamke????mtu anaye pretend mapenzi kwa mwanaume mwenye umri waa babu yake miaka 90 kisa pesa?mtu anayeweka magodoro matakoni ili aonekane Ana wowowo kumbe Hana!kucha fake! nywele fake!kope fake!ngozi fake!mtu jasiri kiasi hicho unawezaje kumtupia lawama Mwanaume eti alishindwa kugundua mapema...Nimesoma thread yako mara 3 nikagundua inawezekana tatizo ni wewe.....kwanini nasema tatizo ni wewe???
Weakness zote ulizosema za mkeo ni vitu ambavyo ulitakiwa kuvi- observe kipindi cha uchumba "courtship" ina maana kama umemchumbia mtu na ukaamua umuoe bila shaka umemkubali jinsi alivyo si kwa strength zake tu bali pia na weakness zake.
Uchafu, matumizi yasiyo ya lazima,matumizi yasiyo ya maana, mvivu wa fikra za kimaendeleo na uvivu kitandani.....sasa kama hivi vinakukera mwenzetu enzi za uchumba ulivutiwa na nini mpaka ukaamua kumfanya mke????? Au mlikutana usiku asubuhi mkaoana au ulitafutiwa na wazazi?????Kama ndivyo una haki ya kulalamika ila kama ulimtafuta mwenyewe ukadate na ukafanya maamuzi ya kuoa wewe ndio tatizo trust me...Pambana na hali yako!!!!!
Mahusiano mengi yanaharibika kwasababu couples hazijui ku "communicate" unakuta mwenzanko anakukera na wewe unamnunia badala ya kumwambia au unamwambia kwa ukali au kwa kebehi badala ya kutumia lugha ya upendo na upole.
nadhani mwenzako anapokukwaza ama unapoona ana upungufu flani jaribu kwenda nae pole pole huku ukiongea nae na kumbadlisha kwa vitendo.
* Kama ni mchafu fanya usafi wewe mara moja moja huku kimueleza namna uchafu unavukukera lazima ataona aibu na kuacha
* kuhusu matumizi mabaya kaeni wote pangeni budget na uwe mfano kuisimamia na kushirikishana mara kwa mara inapotokea matumizi ya ziada. Motivate her kufanya miradi ufugaji,kazi za mikono etc kama mmeajiriwa au kama ye ni mama wa nyumbani tu mkumbushe kua life wont always be the same hivyo ajizoeze kuwa na matumizi mazuri na kujishuhulisha ( hapa tumia lugha nzuri ya upole na pia unapomwambia angalia yuko kwenye mood gani, yawezekana anakua amechoka ama hayuko sawa ndo maana anakua negative)
* She is too heavy to handle in bed???? Ama ni kwa vile ushamtoa kasoro kibaooooo ko hata mood inakutoka???? Appreciate her the way she is coz binti uliemuoa amekua mama amekupa zawadi ya mtoto ,mwili umepata mabadiliko so mvumilie. Make her feel wanted, flirt with her, tease her with spicy texts....mnunulie vinguo sexy , exotic perfumes than tell her u want her to wear that mkiwa...make your sex life exciting baba...usiishie kulalama play you part .
Usiishie tu kua baba bali be a husband and be a partner.....change her and work together to make your marriage exciting,
I took my time to write all this coz i hope utasoma if not you someone else and itasaidia kubadilisha mkeo na ndoa yenu.
Meghan
Shukran Kaka. Always stand for what you believe in.Mimi wewe ukisemaga neno , roho yangu inahisi kupona kabisa.
You are true definition of Woman, such a decided, practical and determined woman
Na unaposimamia kitu ,husimamii tu kama mkumbo bali unakua na SABABU ZA MSINGI NA ZA MAANA ZA KUSIMAMIA IKO KITU.
Wakat fulan ,nikifikiriaga nasema huenda "Umri na uzoeifu wako pia, unakupa sababu yakua na mawazo makubwa"
Kwa mfano , Ungekua bado kabinti, na ukawa tumeoana, Kama mawazo yako yangekua hayahaya, basi nisingekaa kamwe kuhesabu nmekusamehe mara ngapi CoZ kichwan nmejenga neno hili ," upo perfect. Ukikosea, unakosea bahati mbaya".
But anyway huu ndo upande wako niujuao !!ule mwingine siujui.
"In Good times ,Friends know you BUT in Sorrow, you know them "
Ni kweli kabisa.Shukran Kaka. Always stand for what you believe in.
Goodnight.
kinehe
Hahaaaa kwanini unamsemea ? Na Mimi nimewamiss 😍Rafiki mimi na RRONDO tumekumiss!
Mkuu....expectation zimeenda kinyume na nilivyotarajia. Niko ktk dimbwi la mawazo mnooo, kiasi ambacho huwa naishia kuuumia kwa mawazo
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole Sana mkuu mimi sijaoa lakini naweza kukushauri kitu, Penda Yale madhaifu yake, yaani chukulia Kama yeye kuwa na madhaifu Ni kitu Cha pekee na una bahati kuwa nae.Thats all. Usitake kumbadilisha huwezi, narudia Tena huwezi kumbadilisha, tengeneza lifestyle flani yeye ndo abadilike, aone kupitia wewe.
Mfano unasema Ni mchafu, wapi jikoni mwili wake hawezi kuuusafisha au nyumba hasafishi. Kama Ni eneo unaloweza kutake action Basi fanya hivo nenda kasafishe jiko ,OSHA vyombo Mara moja moja .
Mfulie ata nguo zake.
Ni hayo tu
Sent using Jamii Forums mobile app