Sina hisia na mwandani wangu

hapo kwenye uchafu hapooo......before marriage alikuwa aje....maana wengi wakishaingia kwenye ndoano kila kitu wanaacha hukoo....usichepuke kabisa, komaa nae kwanza...maana kama mzigo ulipiga na mtoto mnae amebugi wapi...fanyia kazi....
 
Kuna tabia anafanana na wa kwangu, japo siyo zote. Hasa hapo kwenye kurekebishwa na kuona kama anaonewa... Jitahidi tu. Mimi nimekwenda naye wa kwangu hivyo hivyo. Leo ni miaka 11 imepita. Nitafanyaje wakati niliapa kuwa naye katika shida na raha? Lakini imekuwa miaka ya stress kubwa sana. Yaani hata mambo ya msingi ya common sense anakuwa hayaelewi. Na ukimwelewesha, anakuona kuwa unamwonea! Yaani yeye na watoto wako level moja. Mimi tu ndio mtu mzima katika nyumba. Kwa mfano, katika miaka 11 hiyo nimekuwa nikijaribu kumwelewesha kuwa kusonga ugali ukaiva vizuri kunahitaji maji yachemke to boiling point kwanza lakini ameshindwa kuelewa na kufanya hivyo!

Habari ya wakati huu wana Jamie forum

Mm ni kijana mwenye mke na mtoto mmoja. Ndo yangu imefikisha miaka miwili siku so nyingi zilizopita. Nimejikuta tu simpendi mke wangu kutokana na vijitabia fulani hv ambavyo vimesababisha kupunguza mapenzi kwake, na kusababisha kutokuwa na intimacy nae. Lkn sio hivyo tu, hanivutii kabisa kwa sasa kutokana na mtiririko wa vituko vilivyozidi vya ndani ya ndoa. Vituko hivyo ni km ifuatavyo(kwa ufupi);

1. Ni mwanamke mchafu,na asiependa kurekebishwa,yaaani ukimwambia kitu cha kumrekebisha anaona km unamuonea.

2. Ni mvivu wa fikra za maendeleo, ukimshauri kuhusu maendeleo analeta vitu vingine kabisa.

3. Yuko na matumizi makubwa yasiyo na maana , kiasi ambacho unaifkiria mara 2 , kwa nn umeoa.

4. Cha ajabu kitandani si riziki nae kabisa, she z too heavy to handle.

5. N.a. mengine mengineyo, kiasi ambacho sitamani hata kurudi home mapema kwa kuwa ni vitu vingi vinanikera kutoka kwake.


Naombeni ushauri juu ya hili. I don't enjoy life kabisa kwa kuwa nae huyu kiumbe.

NB: km hujawah kuishi na mtu au hujaoa/ kuolewa ni bora upite tu, usicomment.


Nakaribisha ushauri...ni serious case


Sent using Jamii Forums mobile app
 
1 2 3 4 5 ..kabla hujamuoa hukuyaona??


Embu kua mkweli, hamna mdada uko uliyotokea kumtaman??? Au umeshatongoza unataman naww uone raha kuchepuka?? Au kuna dada anakutengenezea mazingira ya kumla???


Embu kua mkweli hapa.


Pili, mwanao ana umri gan???

"Dume la Nyani haliogopi Umande"
 
90% ya ndoa zipo hivo so vumilia

Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani kama ni kweli...usifananishe maisha ya mtu mmoja na maisha ya watu wengine...suala la usafi ni kipaumbele kwa wanawake asilimia 90, sasa huyo kama usafi sio kipaumbele chake sijui anamatatizo gani

Ukija kwenye suala la bajeti..asilimia kubwa ya wanawake wanasave pesa kuliko wanaume na wanaavoid matumizi yasiyo ya lazima especially kukishakua na watoto kwenye familia

Suala la sex hapo i ategemea pengine wote wawili wana matatizo..haiwezekani mwanamke asipende sex labda mume hamkuni ipasavyo

Ukija kwenye suala la kutokupenda kurekebishwa inategemea unatumia aproach gani..pengine unatumia lugha ya kumkebehi au kumfanya ajione hana thamani

Ndoa ni jukumu la wawili kuilinda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa wale vijana wote ambao hamjaoa: Kabla ya kuchukua uamuzi wa kuoa hakikisha unaishi na huyo mwanamke angalau MIAKA MIWILI! Ukiona umeweza kuishi nae kwa kipindi hicho bila matatizo, oa huyo. Japo sio gerentii lakini itakupunguzia matatizo mengi sana huko mbeleni.
 
Mazingira pia yanamfanya mtu kudumaa kimawazo n.k...fanya hili jaribio dogo mnunulie nguo za mazoezi kama traki suti na uchague wikiendi moja mfanye mazoezi ya kukimbia angalau kilomita 3 n.k,baada ya hapo jadilini changamoto zenu na mzitatue.
 
Mazingira pia yanamfanya mtu kudumaa kimawazo n.k...fanya hili jaribio dogo mnunulie nguo za mazoezi kama traki suti na uchague wikiendi moja mfanye mazoezi ya kukimbia angalau kilomita 3 n.k,baada ya hapo jadilini changamoto zenu na mzitatue.
Ni mvivu balaaa. Kuna kipindi alisumbuliwa na goti, Dr akashauri kuwa kwa kuwa ana uzito uliozidi na magoti yana acid nyingi, ikashauriwa kuwa apunguze vitu vya mafuta na uchachu. Pia aanze mazoezi mepesi ya kutoka jasho kwa ajili ya ku boost metabolism. HADI LEO HII NOTHING HAS BEEN DONE, PAMOJA NA KUMSISITIZA SANA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari ya wakati huu wana Jamie forum

Mm ni kijana mwenye mke na mtoto mmoja. Ndo yangu imefikisha miaka miwili siku so nyingi zilizopita. Nimejikuta tu simpendi mke wangu kutokana na vijitabia fulani hv ambavyo vimesababisha kupunguza mapenzi kwake, na kusababisha kutokuwa na intimacy nae. Lkn sio hivyo tu, hanivutii kabisa kwa sasa kutokana na mtiririko wa vituko vilivyozidi vya ndani ya ndoa. Vituko hivyo ni km ifuatavyo(kwa ufupi);

1. Ni mwanamke mchafu,na asiependa kurekebishwa,yaaani ukimwambia kitu cha kumrekebisha anaona km unamuonea.

2. Ni mvivu wa fikra za maendeleo, ukimshauri kuhusu maendeleo analeta vitu vingine kabisa.

3. Yuko na matumizi makubwa yasiyo na maana , kiasi ambacho unaifkiria mara 2 , kwa nn umeoa.

4. Cha ajabu kitandani si riziki nae kabisa, she z too heavy to handle.

5. N.a. mengine mengineyo, kiasi ambacho sitamani hata kurudi home mapema kwa kuwa ni vitu vingi vinanikera kutoka kwake.


Naombeni ushauri juu ya hili. I don't enjoy life kabisa kwa kuwa nae huyu kiumbe.

NB: km hujawah kuishi na mtu au hujaoa/ kuolewa ni bora upite tu, usicomment.


Nakaribisha ushauri...ni serious case


Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu yangu, walioweka uchumba kabla ya ndoa hawakuwa wajinga....waliyafahamu haya. Sasa napata ukakasi, najiuliza ulioa vipi mke wa aina hiyo?!! Au kaja kubadilika ndani ya nyumba?!!

Anyway tuachane na hayo....kwa hali hiyo, ni kweli huwa ni shida sana kwetu sisi wanaume....na mara nyingi matokeo yake ndio hayo sasa.

Ila napenda kukushauri tu, kwambia usichoke kuendelea kuongea nae, if possible sometimes mtoe tu out then huko huko out, unatafuta romantic way ya kumuelekeza wapi anakosea....all in all ukiona zote zikegonga mwamba, basi chukua hatua ya mwisho just washirikishe wazazi/walezi ili wakusaidie kwenye hilo kabla amjavunja ndoa yenu.

Note:
1: Even though mwenzio amekutoka, ila acha hiyo tabia ya kuonyesha kubadilika. Kaa ukijua kuchelewa kurudi nyumbani, kususa susa, kulala nje na upuuzi mwingine wowote ule....forever and ever hautokusaidia zaidi ya kuendelea kuifukia ndoa yako.
2: Jitaidi kuondoa dhana ya "NITAPATA MWINGINE BHANA" hii haitokusaidia chochote kile.....sana sana tu itakupelekea kushindwa kuhimili hayo matatizo ndani ya familia yako.
3: Kabla ujafikia maamuzi yoyote yale, kumbuka kuna MTOTO...so jitaidi upuuzi wenu usimuathiri mtoto wenu kwa namna yoyote ile.
4: Tafuta maana halisi ya neno "BABA NDIO KICHWA CHA FAMILIA" ukilipata jibu sahihi, naamini utatuliza wenge.

Mwisho wa yote, nakutakia kila kheri katika majukumu mazito yaliopo mbele yako........hayo ndio yatakayo kuqulify au disqualify kwamba unafaha kuitwa MWANAUME AU LAH.

BYE BYE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mvivu balaaa. Kuna kipindi alisumbuliwa na goti, Dr akashauri kuwa kwa kuwa ana uzito uliozidi na magoti yana acid nyingi, ikashauriwa kuwa apunguze vitu vya mafuta na uchachu. Pia aanze mazoezi mepesi ya kutoka jasho kwa ajili ya ku boost metabolism. HADI LEO HII NOTHING HAS BEEN DONE, PAMOJA NA KUMSISITIZA SANA

Sent using Jamii Forums mobile app
Msisitize tu,na mfanye wote mkiwa pamoja natumaini atakusikiliza..na tatizo lako litakwisha.
 
Wakusikia na asikie, usije ukaoa mwanamke ambaye hujawahi kuishi nae nyumba moja kwa atlest mwaka na nusu! Utaumia...nakwambia tena utaumia! It might sound odd ila itakusaidia sana kujua ni aina gani ya mwanamke unaoa interms of tabia halisi!
Ilikuwa ni long distance relationship ya miaka miwili, then tukaoana na kuanza mahusiano. Kwa kwl inaniuma mno.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakusikia na asikie, usije ukaoa mwanamke ambaye hujawahi kuishi nae nyumba moja kwa atlest mwaka na nusu! Utaumia...nakwambia tena utaumia! It might sound odd ila itakusaidia sana kujua ni aina gani ya mwanamke unaoa interms of tabia halisi!
Tatizo wengine hatupendi kutumia muda wa kutosha kumfahamu muhusika,cha ajabu tunajikuta tumefanya maamuzi ya haraka kwa sababu ya tamaa za mwili tu.Bila kujua mke/mume ni maisha kuna kupanda na kushuka.
 
Kwa wale vijana wote ambao hamjaoa: Kabla ya kuchukua uamuzi wa kuoa hakikisha unaishi na huyo mwanamke angalau MIAKA MIWILI! Ukiona umeweza kuishi nae kwa kipindi hicho bila matatizo, oa huyo. Japo sio gerentii lakini itakupunguzia matatizo mengi sana huko mbeleni.
Mkuu umeenda sawa na upeo wangu, i also urge vijana wenzangu. Mwanamke wa kuoa kwa zama za sasa hakikisha umeishi nae for not less than 1 and a half year ndani ya kuta 4.

Ndani ya muda huo mwanamke ata awe mnafiki vipi atakuwa ameshakuwa comfortable na wewe kiasi cha kudhihirisha tabia zake halisi kwa asilimia kubwa na pia utakuwa umeshafumbuliwa kama utazimudu ama la! Acheni kukurupuka kisha mnakuja kulalama humu.
 
Back
Top Bottom