Njopino
JF-Expert Member
- Apr 8, 2014
- 3,470
- 5,050
May be ana feel certain pain, yupo dilemma, point to decide no option.Hili povu ulilolimwaga hapa sio mchezo yani unaonekana kabisa una chuki kubwa na huyo mkeo, sasa kwa nini uteseke... Unahitaji ushauri wa kiungwana, au wa kibabe?