Wrong Mr
Member
- Jul 22, 2017
- 91
- 78
Wasalaam ndugu,
Naamini niko na afya njema kabisa.
Ngoja nianze hivi, ni muda kama wa wiki tatu sasa hali ya kukosa hamu ya kufanya mapenzi ipotee kabisa mwilini.
Mwanzo niliona kawaida ila sasa naona litakua ni tatizo mana inafika kipindi hata mnara hausomi kabisa hata kidogo.
Nilijifikiria labda ni kwasababu sina mpenzi ila juzi niliamua kwenda club nikaomba kucheza na mdada mmoja ambae najua atanistimulate.
Lakini pamoja na hayo yote mnara uligoma kushika mawimbi nimejiuliza sana tatizo nini ila nimeshindwa pata jibu."Mganga hajigangi"
Naombeni uchambuzi kuhusu hili.
"Dare to talk openly"
Naamini niko na afya njema kabisa.
Ngoja nianze hivi, ni muda kama wa wiki tatu sasa hali ya kukosa hamu ya kufanya mapenzi ipotee kabisa mwilini.
Mwanzo niliona kawaida ila sasa naona litakua ni tatizo mana inafika kipindi hata mnara hausomi kabisa hata kidogo.
Nilijifikiria labda ni kwasababu sina mpenzi ila juzi niliamua kwenda club nikaomba kucheza na mdada mmoja ambae najua atanistimulate.
Lakini pamoja na hayo yote mnara uligoma kushika mawimbi nimejiuliza sana tatizo nini ila nimeshindwa pata jibu."Mganga hajigangi"
Naombeni uchambuzi kuhusu hili.
"Dare to talk openly"