Madihani
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 5,977
- 6,632
Sio kweli mwanaume hazeeki labda kama hazingatii chakula.
Nilichogundua mimi . Mwanaume unapozidi kuchelewa kuoa ndipo hamu ya kuoa inazidi kupungua..
Unajua baada ya 35 yrs kwa mwanaume hamu ya tendo na sperm quality inapungua.
Sasa hii ikikukuta bado hujaoa... ndipo unazidi kusita kuoa.. japo uhalisia umri huu unamuhitaji sana mwanamke kama partner