Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,511
- 26,206
Aiseee vijana mmekata tamaa sana, sijui tatizo niniHofu tu mkuu unayo.Tupo wengi wenye 35 na kuendelea but hatuna wasiwasi.Hata hivyo zama hizi kupata na kuishi na hawa wenzetu imekuwa ni changamoto sn.
Ukiwa kwenye ndoa miaka hii ni hatariiii sn,kwani kuua ama kufa wewe ni possible sn
Serikali iweke kipengele kwenye Katiba cha kulazimisha vijana waoe.