Noted mkuuSingano tumesoma vizur kule kwa roma hongera. Kule kwa roma umemaliza vizur hongera ingawa kuna segment hazikuelezewa illishaje,mfano mpango lado ukawaje,na huku kusiwe na tusegment twing mwisho tukasahau mana hapa matukio meng,mara huyu kiajana ni kama supernatural jins unavyoelezea ila alizaliwa na mama chizi huko songwe,na anaonesha kashazunguka dunia nzima kwa sabab gani? Anyway sisi tunataka kuona kachkua mtoto regina ndio tunataka.connection iwepo mzee ajulikane,tayari wahuska wamekua wengi,usiache connection, tujue
Muendelezo liniNoted mkuu
wivuVipamde vyote vilikuwepo JF wamevifuta sijui shida iko wapi
Sawa mkuu sisi wa huku tutakungoja hata mwakani tu kikubwa usitutupeTunaendelea kwenye grupu na spidi ya 6G
nilizan umeleta mwendelezo kumbe umekuja kutembea2!!!Tunaendelea kwenye grupu na spidi ya 6G
Sawa mkuu kuna sisi tupo huku tunasubiri jicho lako likatize hukuTunaendelea kwenye grupu na spidi ya 6G
nikikuona wew2 najua jamaa ypo karib kuja...maana ww ni kama chai then Singano ni mkate "HAKUNA MKATE MGUMU MBELE YA CHAI" atakuja2hata miaka 5 tutasubiri tu sawa singanojr
nikikuona wew2 najua jamaa ypo karib kuja...maana ww ni kama chai then Singano ni mkate "HAKUNA MKATE MGUMU MBELE YA CHAI" atakuja2
Nimekosea kuname number tu ila mtiririko ni sahihi 36 ni 37Hello singanojr asante kwa mwendelezo wa story but naona unachanganya sana episode so kunakuwa na mkanganyiko, episode 35 umeirudia, then ikafuata 37......chini umeanza tena 37.....episode no. 36 imo wapi. Naomba link au untag sehemu ya 36 nianzie hapo, thanks!