Simuelewi shemeji yangu huyu

Labda kweli, labda si kweli.

Ila huyu shemeji inatakiwa ajue karibia ataliwa na mdogo wa mmewe.

Kongosho! Acha uhuni, 23 sio adolescence Bana!

Huyo kinacchomsumbua ni mibangi na domo zege. Chukua tahadhari kwani iko siku atakupanda kwa nguvu. Atakugeuza PANZI, akubake

Bazazi ni Bazazi!
 
Someni yaliyomsibu huyu dada....
"Mimi ni dada mwenye miaka 28,nimeolewa na nina mtoto mmoja,tunakaa nyumba ya kupanga na husband+mdogo wake wa kiume mwenye miaka 23.
Kuna siku niligundua kuwa picha zangu nyingi zimepotea,pamoja na kuuliza sikupata jibu lolote,jumamosi iliyopita niliingia bafuni kuoga baada ya yule shemeji yangu kutoka kuoga (tunashea bafu/choo) kilichonishangaza nilikuta picha zangu mbili kule bafuni sikuelewa zimefikaje na ni kati ya zile zilizopotea,nilipomuuliza hakuwa na la kujibu nikamwambia nitamwambia kaka yake,akaomba sana msamaha na kurudisha zile picha akasema hana nyingine.,leo asubuhi nimeingia chumbani kwake nikakuta kabandika picha 2 pembeni ya kitanda chake.,nishaurini nimfanyaje huyu kijana?"


Mfahamishe ubaya wa kitendo chake na umueleze kuwa asipobadilisha tabia basi utamueleza kaka yake. Wewe ulie mtu mzima unawajibika kujichunga kwani inawezerkana anasumbuliwa na umri tu.
 
Hahahahaha Duh dogo noma hii ni kali ya mwaka, ipo siku kaka yake akisafiri atakunyatia chumbani apige mzigo live
 
you must be really hot if he fantasizes about you :)
just hook him up with another woman.

NB: be firm that you don't expect advances from him
 
Ahahahaaaaa huyo kiboko kwa kweli pole pole hvy hvy mwisho wa siku ataanza kuchukua kufuli zako anazipigia mzigo mwisho wa siku kitu live mbn!mchekee tu hamna!
 
Ahahahaaaa...mpe gemu apige mechi moja live lazma ataacha kugonga kitu recorded na kutumia hisia nyingi zisizo na msingi..am worried u r too sexy such that a boy fall in luv wit ur photos...au na photos zako upo uchi wa mnyamaaa???
 
Someni yaliyomsibu huyu dada....
"Mimi ni dada mwenye miaka 28,nimeolewa na nina mtoto mmoja,tunakaa nyumba ya kupanga na husband+mdogo wake wa kiume mwenye miaka 23.
Kuna siku niligundua kuwa picha zangu nyingi zimepotea,pamoja na kuuliza sikupata jibu lolote,jumamosi iliyopita niliingia bafuni kuoga baada ya yule shemeji yangu kutoka kuoga (tunashea bafu/choo) kilichonishangaza nilikuta picha zangu mbili kule bafuni sikuelewa zimefikaje na ni kati ya zile zilizopotea,nilipomuuliza hakuwa na la kujibu nikamwambia nitamwambia kaka yake,akaomba sana msamaha na kurudisha zile picha akasema hana nyingine.,leo asubuhi nimeingia chumbani kwake nikakuta kabandika picha 2 pembeni ya kitanda chake.,nishaurini nimfanyaje huyu kijana?"

du, umemchanganya hadi shemeji? Kuwa makini nae la sivyo ........
 
au kama vipi ampe tu japo mara moja.... teh teh natania bana kaaa nae chini muongee akwambie nini shida... tehe dah maswahibu mengine mmmmh
 
Kaa naye halafu muulize kwanini anafanya hayo,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,kama vp chukua maamuzi magumu
 
Someni yaliyomsibu huyu dada....
"Mimi ni dada mwenye miaka 28,nimeolewa na nina mtoto mmoja,tunakaa nyumba ya kupanga na husband+mdogo wake wa kiume mwenye miaka 23.
Kuna siku niligundua kuwa picha zangu nyingi zimepotea,pamoja na kuuliza sikupata jibu lolote,jumamosi iliyopita niliingia bafuni kuoga baada ya yule shemeji yangu kutoka kuoga (tunashea bafu/choo) kilichonishangaza nilikuta picha zangu mbili kule bafuni sikuelewa zimefikaje na ni kati ya zile zilizopotea,nilipomuuliza hakuwa na la kujibu nikamwambia nitamwambia kaka yake,akaomba sana msamaha na kurudisha zile picha akasema hana nyingine.,leo asubuhi nimeingia chumbani kwake nikakuta kabandika picha 2 pembeni ya kitanda chake.,nishaurini nimfanyaje huyu kijana?"

Ha haaaa kwishne ,dogo anakuzimia ile mbaya nafikiri anatamani ungekuwa wake badala ya bro,mcheki sometimes kama vipi bro anakuwa mvivu unampa shavu mara moja moja ila asizoeee....
 
Back
Top Bottom