Simu za mkononi, unatumia/unataka ipi?

Kang

JF-Expert Member
Jun 24, 2008
5,495
2,252
Nimeanza kufikiria kununua simu mpya hasa yenye camera nzuri, Nokia N73 looks good, lakini huwa naogopa kulipa too much for a phone. Pia ningependa QWERTY keyboard lakini bei ndo inazidi kuruka, LG KS360 inaonekana ina keyboard fresh na ni cheap, ila camera is not so great Im told.

Currently nina Motorola V360 ambayo ina kama miaka miwili hivi, ni simu nzuri ina Java so nimeinstall Opera webbrowser na Mig33, ina camera lakini basic VGA, ina GPRS/Edge data connection na pia in MicroSD slot.

Site nzuri ya kuangalia simu www.gsmarena.com
 
Mkuu nadhani hata ebay wanasimu nzuri sana ila inategema kama unapenda new ndio kama hiyo site uliyotoa ila kama unataka used nadhani ebay wanasimu nzuri sana tena sana lakini yote sawa mkuu.....Pamoja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom