NetworkEngineer
JF-Expert Member
- Jun 21, 2012
- 1,923
- 1,150
Note 2 ya mwaka 2013 inakuja kulipuka mwaka huu..duh hiyo special case bhana ila sidhan kama hizo simu zina common weakness ya kulipuka..tungesikia mengi tokea 2013
Labda aliweka airplane modewanatangaza Zima simu ikiwa inataka kushuka au kupaa kuna Lugha ya kitaalamu hapo...
Interesting.. there is something.Note 2 ya mwaka 2013 inakuja kulipuka mwaka huu..duh hiyo special case bhana ila sidhan kama hizo simu zina common weakness ya kulipuka..tungesikia mengi tokea 2013
wewe unayejua unatumia simu ganiKweli kabisa,hawa jamaa simu zao bomu sana sema tu watu hawajui bado.
hapo hata mimi nahisi simu ilikuwa na tatizo lake si kweli kuwa toleo zima la note2 sasa halifaiNote 2 ya mwaka 2013 inakuja kulipuka mwaka huu..duh hiyo special case bhana ila sidhan kama hizo simu zina common weakness ya kulipuka..tungesikia mengi tokea 2013
Acha kupotosa mkuu. Aina ya gari ilikuwa ni Jeep. Ungeziona hizo picha ungetambua hilo. Ila kwa kuwa amekuhadithia meku kwenye kijiwe cha kahawa na wewe umekuja kutumwagia fleva humu.
Huwezi kunielewa kwa sababu umekuja mjini na mbio za baiskeli. Hiyo incident ilivyotokea kulikuwa mpaka na video clip achilia mbali hiyo picha uliyoiona. La pili kama kwenye picha ulishindwa kutofautisha kati ya Pick up truck na Jeep SUV basi wewe ni kiazi mviringo. Sina hata haja ya kubishana na wewe.kupotosa>>>>>kupotosha
Baadhi yetu hushindwa kutofautisha kati ya jeep na pick up
lakini sina hakika kwanini umetoa hii comment, na sijui kwanini useme nimehadithiwa kwenye kijiwe cha kahawa...binafsi inisaidie nini mimi nidanganye humu JF kuhusu hili ....na sielewi kwanini wewe ''uumie' kuwa mimi sikuziona hizo picha (and for your information kulikuwa na picha moja tu) ...Yaani kwa ujumla sijakuelewa...What is the big deal???? Sidhani kama kuna mashindano humu JF ya mtu wa kwanza kuona hiyo picha....
Mkuu mimi natumia Huawei, hapa nina p8 yangu sina shida kabisa.wewe unayejua unatumia simu gani