Simu.ipads kanisani.

Mbangubangu

Senior Member
May 6, 2013
188
69
Wadau kuna hili swala la watu kutumia simu au ipads-na vifaa kamw hivyo vya mawasiliano kanisani.kwa maendeleo yanavyokwenda kwa kasi ni kwamba bilia na vitabu vingine vinaweza kupatikana ktk hivyo vifaa hivyo mtu anaweza kuchukua simu au kifaa chochote na kuacha biblia au vitabu vya nyimboo.Hii imekaaje?ipo sahihi kweli? Tupate mitazamo wakubwa.
 
Wadau kuna hili swala la watu kutumia simu au ipads-na vifaa kamw hivyo vya mawasiliano kanisani.kwa maendeleo yanavyokwenda kwa kasi ni kwamba bilia na vitabu vingine vinaweza kupatikana ktk hivyo vifaa hivyo mtu anaweza kuchukua simu au kifaa chochote na kuacha biblia au vitabu vya nyimboo.Hii imekaaje?ipo sahihi kweli? Tupate mitazamo wakubwa.

usipate shida mkuu,.


Neno la Mungu halibadiliki kamwe, ni lile lile jana leo na hata milele!!!
 
usipate shida mkuu,.


Neno la Mungu halibadiliki kamwe, ni lile lile jana leo na hata milele!!!
Sawa sawa kamanda.sasa si inabidi tupunguze au kuacha kabisa kutumia vifaa hivyo kwa mapicha ya ajabu ajabu.
 
Kama mtu ana Bible yake kwenye IPAD na akaja na IPAD kanisani tatizo liko wapi? Shida inakuja hapo mwenye nayo atakapoacha kufuatilia misa na kuanza kuchat na watu au kuingia internet. Lakini kama ni kwa ajili ya kuaccess bible sioni shida ni nini.

Tiba
 
Kama mtu ana Bible yake kwenye IPAD na akaja na IPAD kanisani tatizo liko wapi? Shida inakuja hapo mwenye nayo atakapoacha kufuatilia misa na kuanza kuchat na watu au kuingia internet. Lakini kama ni kwa ajili ya kuaccess bible sioni shida ni nini.

Tiba

sasa ni balaa zaid wakianza chat na mbebez wakikumbushiana yaliyojiri J1 usiku!
 
Wadau kuna hili swala la watu kutumia simu au ipads-na vifaa kamw hivyo vya mawasiliano kanisani.kwa maendeleo yanavyokwenda kwa kasi ni kwamba bilia na vitabu vingine vinaweza kupatikana ktk hivyo vifaa hivyo mtu anaweza kuchukua simu au kifaa chochote na kuacha biblia au vitabu vya nyimboo.Hii imekaaje?ipo sahihi kweli? Tupate mitazamo wakubwa.
Usichanganye na ile dini ya kugongesha vichwa bana. anyways, kila kitu katengeneza Mkristu.
Mimi natumia both Tablet/ipad na Laptop wakati nafundisha neno, hapo sasa....
 
Kanisani haina neno mbona poa tu hata ukitaka uende na jiko la gas ukapike poa tu.
 
Kanisani kuna heshima zake....Watu wanaingia kanisani na hivyo vifaa vya kielektroniki mm naona ni ushamba na kukosa nidhamu.....

Biblia (Manual) ina hadhi na heshima kanisa...

Ila kwa liberal churches wale ndombolo la Yesu kwao hamna tabu..
 
Wadau kuna hili swala la watu kutumia simu au ipads-na vifaa kamw hivyo vya mawasiliano kanisani.kwa maendeleo yanavyokwenda kwa kasi ni kwamba bilia na vitabu vingine vinaweza kupatikana ktk hivyo vifaa hivyo mtu anaweza kuchukua simu au kifaa chochote na kuacha biblia au vitabu vya nyimboo.Hii imekaaje?ipo sahihi kweli? Tupate mitazamo wakubwa.

Una taarifa kwamba biblia ya kwanza iliandikwa ktk ngozi ya mnyama ?kwa hiyo unataka tubaki huko?
 
Una taarifa kwamba biblia ya kwanza iliandikwa ktk ngozi ya mnyama ?kwa hiyo unataka tubaki huko?

Kweli maendeleo ni mazuri.ila kitabu kama biblia tunapenda kuita kitabu kitakatifu.na Dini nyingine mtu akinunua huwa inabarikiwa sasa hapo tutabariki ipad/simu.
 
Back
Top Bottom