Simon Kibona and G Rutihinda...

Dark City

JF-Expert Member
Oct 18, 2008
16,253
11,599
Ndugu wadau,

Baada ya kusoma post ya Kamongo (https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/86879-stan-katabaro.html), nimepata huzuni sana kujiwa na kumbukumbu za baadhi ya Watanzania wenzetu waliotangulia mbele ya haki katika mazingira ya kutatasha huko nyuma.

Nimeanza kuweka hawa ndugu zetu na naomba wadau waonegezee na wengine ili tuweke kumbukumbu zetu sawa. Pia tuweze kuwakumbuka watu hawa kwa mchango wao mkubwa katika taifa letu,

1. Stephen Kibona: Alikuwa waziri wa fedha katika serikali ya Mwinyi. Inasemekana alikuwa Waziri bora wa wizara hiyo kuliko mtu mwingine yeyote. Inadaiwa kuwa alikosana na Rais Mwinyi baada ya kukataa kumpatia pesa mkewe (Mama Sitti Mwinyi). Aliondolewa kwenye hiyo wizara na baadaye alikufa kifo chenye utata.

2. Gilman Rutihinda: Sina details zake ila alikuwa Governor wa BOT. Nasikia naye kifo chake kiliacha mashaka makubwa.

3. Horace Kolimba: Alikuwa Katibu Mkuu wa CCM. Alifariki baada ya kuhojiwa na CC ya CCM huko Dodoma kwa kilichodaiwa kuwa alikidhalilisha chama kwa kusema kuwa kimepoteza dira na hakina mwelekeo.

4. Kigoma Malima: Alikuwa waziri wa fedha katika serikali ya Mwinyi na mwenye mambo mengi yenye utata. Alimwandikia Rais memo ambayo iliibuliwa na kutolewa na gazeti la Family Mirror akimtaka Mwinyi afanye upendeleo kwa Waislamu eti wameachwa nyuma sana. Aliihama CCM na kujiunga na upinzani kabla ya uchaguzi wa 1995. Alifariki ghalfa kabla ya kugombea urais.

5.

6.
 
1. Not Simon -- Stephen Kibona... Alishidwa Ubunge Wilayani kwake... na ilikuwa chama kimoja kwahiyo wakati anafariki hakuwa Mbunge alikuwa Raia wa kawaida.
4. Kighoma Malima -- Unaona Matunda yake --- Jakaya Mrisho Kikwete... Mwinyi quickly Upgraded him

how wengine sijui lakini kulikuwa hakuna foul play on Stephen Kibona
 
Ndugu wadau,

Baada ya kusoma post ya Kamongo (https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/86879-stan-katabaro.html), nimepata huzuni sana kujiwa na kumbukumbu za baadhi ya Watanzania wenzetu waliotangulia mbele ya haki katika mazingira ya kutatasha huko nyuma.

Nimeanza kuweka hawa ndugu zetu na naomba wadau waonegezee na wengine ili tuweke kumbukumbu zetu sawa. Pia tuweze kuwakumbuka watu hawa kwa mchango wao mkubwa katika taifa letu,

1. Stephen Kibona: Alikuwa waziri wa fedha katika serikali ya Mwinyi. Inasemekana alikuwa Waziri bora wa wizara hiyo kuliko mtu mwingine yeyote. Inadaiwa kuwa alikosana na Rais Mwinyi baada ya kukataa kumpatia pesa mkewe (Mama Sitti Mwinyi). Aliondolewa kwenye hiyo wizara na baadaye alikufa kifo chenye utata.

2. Gilman Rutihinda: Sina details zake ila alikuwa Governor wa BOT. Nasikia naye kifo chake kiliacha mashaka makubwa.

3. Horace Kolimba: Alikuwa Katibu Mkuu wa CCM. Alifariki baada ya kuhojiwa na CC ya CCM huko Dodoma kwa kilichodaiwa kuwa alikidhalilisha chama kwa kusema kuwa kimepoteza dira na hakina mwelekeo.

4. Kigoma Malima: Alikuwa waziri wa fedha katika serikali ya Mwinyi na mwenye mambo mengi yenye utata. Alimwandikia Rais memo ambayo iliibuliwa na kutolewa na gazeti la Family Mirror akimtaka Mwinyi afanye upendeleo kwa Waislamu eti wameachwa nyuma sana. Aliihama CCM na kujiunga na upinzani kabla ya uchaguzi wa 1995. Alifariki ghalfa kabla ya kugombea urais.

5.

6.

Thanx DC kwa habari hii umenikumbusha mbali kidogo especially kwa Gilman Rutihinda went school with his daughter
 
1. Not Simon -- Stephen Kibona... Alishidwa Ubunge Wilayani kwake... na ilikuwa chama kimoja kwahiyo wakati anafariki hakuwa Mbunge alikuwa Raia wa kawaida.
4. Kighoma Malima -- Unaona Matunda yake --- Jakaya Mrisho Kikwete... Mwinyi quickly Upgraded him

how wengine sijui lakini kulikuwa hakuna foul play on Stephen Kibona
Acha uongo,mwinyi ndio alimshusha cheo malima naye akajiuzulu,kikwete hajawahi kumpa kazi malima
 
Mada ya udaku na uchimvi kuchunguza mambo ya kufikirika yasiyo na ushahidi.Nawaoneaga huruma sana mods kazi kubwa waliyo nayo maana hata udaku mnajua nao ni habari ya kuburudisha ubongo
 
Ndugu wadau,

Baada ya kusoma post ya Kamongo (https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/86879-stan-katabaro.html), nimepata huzuni sana kujiwa na kumbukumbu za baadhi ya Watanzania wenzetu waliotangulia mbele ya haki katika mazingira ya kutatasha huko nyuma.

Nimeanza kuweka hawa ndugu zetu na naomba wadau waonegezee na wengine ili tuweke kumbukumbu zetu sawa. Pia tuweze kuwakumbuka watu hawa kwa mchango wao mkubwa katika taifa letu,

1. Stephen Kibona: Alikuwa waziri wa fedha katika serikali ya Mwinyi. Inasemekana alikuwa Waziri bora wa wizara hiyo kuliko mtu mwingine yeyote. Inadaiwa kuwa alikosana na Rais Mwinyi baada ya kukataa kumpatia pesa mkewe (Mama Sitti Mwinyi). Aliondolewa kwenye hiyo wizara na baadaye alikufa kifo chenye utata.

2. Gilman Rutihinda: Sina details zake ila alikuwa Governor wa BOT. Nasikia naye kifo chake kiliacha mashaka makubwa.

3. Horace Kolimba: Alikuwa Katibu Mkuu wa CCM. Alifariki baada ya kuhojiwa na CC ya CCM huko Dodoma kwa kilichodaiwa kuwa alikidhalilisha chama kwa kusema kuwa kimepoteza dira na hakina mwelekeo.

4. Kigoma Malima: Alikuwa waziri wa fedha katika serikali ya Mwinyi na mwenye mambo mengi yenye utata. Alimwandikia Rais memo ambayo iliibuliwa na kutolewa na gazeti la Family Mirror akimtaka Mwinyi afanye upendeleo kwa Waislamu eti wameachwa nyuma sana. Aliihama CCM na kujiunga na upinzani kabla ya uchaguzi wa 1995. Alifariki ghalfa kabla ya kugombea urais.

5.

6.
Stephen Kibona, alitoka Mbeya alikokuwa anafundisha shule ya sekondari ya Mbeya Day, nakumbuka alikuwa akiishi kati ya Mabatini na Nzovwe.
 
Ndugu wadau,

Baada ya kusoma post ya Kamongo (https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/86879-stan-katabaro.html), nimepata huzuni sana kujiwa na kumbukumbu za baadhi ya Watanzania wenzetu waliotangulia mbele ya haki katika mazingira ya kutatasha huko nyuma.

Nimeanza kuweka hawa ndugu zetu na naomba wadau waonegezee na wengine ili tuweke kumbukumbu zetu sawa. Pia tuweze kuwakumbuka watu hawa kwa mchango wao mkubwa katika taifa letu,

1. Stephen Kibona: Alikuwa waziri wa fedha katika serikali ya Mwinyi. Inasemekana alikuwa Waziri bora wa wizara hiyo kuliko mtu mwingine yeyote. Inadaiwa kuwa alikosana na Rais Mwinyi baada ya kukataa kumpatia pesa mkewe (Mama Sitti Mwinyi). Aliondolewa kwenye hiyo wizara na baadaye alikufa kifo chenye utata.

2. Gilman Rutihinda: Sina details zake ila alikuwa Governor wa BOT. Nasikia naye kifo chake kiliacha mashaka makubwa.

3. Horace Kolimba: Alikuwa Katibu Mkuu wa CCM. Alifariki baada ya kuhojiwa na CC ya CCM huko Dodoma kwa kilichodaiwa kuwa alikidhalilisha chama kwa kusema kuwa kimepoteza dira na hakina mwelekeo.

4. Kigoma Malima: Alikuwa waziri wa fedha katika serikali ya Mwinyi na mwenye mambo mengi yenye utata. Alimwandikia Rais memo ambayo iliibuliwa na kutolewa na gazeti la Family Mirror akimtaka Mwinyi afanye upendeleo kwa Waislamu eti wameachwa nyuma sana. Aliihama CCM na kujiunga na upinzani kabla ya uchaguzi wa 1995. Alifariki ghalfa kabla ya kugombea urais.

5.

6.
Huenda pakianzishwa Shindano la Bingwa wa Dunia kwa Uzushi na Umbea basi Tanzania na Waswahili wake kila Msimu wakawa wanaibuka Washindi tu pekee wa Tuzo na Medali za Dhahabu.
 
Back
Top Bottom