THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,365
- 12,823
nape msalime kaka yako zitto kabwe
siku kuu hii tunguri mnaenda kuzivunja wapi?
siku kuu hii tunguri mnaenda kuzivunja wapi?
Mwanangu, si kila ushahidi huthibitishwa kwa kuona. wakati mwingine, ushahidi huthibitishwa kwa mazingira. Si wengi wamethibitisha uzinzi kwa kuona, na ukisubiri uthibitishe kwa kufamania, hakika haitatokea, ila ushahidi wa kimazingira unakubalika hata mahakamani. Mwanangu, I remember how close i was, with your father, and i wish to be in his position. so naona nina jukumu la kukushauri hasa pale ninapoona mambo yanakwenda mrama. Katika suala la kukana uanachama wa ccj, sijui utatumia lugha gani jamii ikuelewe. cha msingi, uanasiasa ni kuvaa roho ya chuma, acha kutafuta ushahidi, wa karatasi, kubali kuwa wakati fulani moyo ulipoteza imani kidogo na chama chetu, hasa ule wakati wa ugumu wa siasa, na mkuu wa kaya alipokutetea, imani ikarudi kwenye chama chetu, na sasa wewe ni chombo kizuri ndani ya chama. basi.
Ndugu Nape
Nilishawahi kusikia kwamba Nape una masters.
Ni vigum kuamini kwa elimu na nafasi yako kwamba hujui kazi ya uwakili nini. Kwetu sisi wanasheria uwakili ni kuisaidia mahakama kufikia na kutoa uamuzi sahihi na sio kuwatetea km unavomaanisha.......
DSN,
Swala la Mzee wanguMarando kuwa mtetezi wa watuhumiwa wa EPA Mahakamani na huku jukwaani akiwaita mafisadi LINAHITAJI USHAHIDI?........
Nadhani Marando mwenyewe alishawahi kusema kuwa kina Jeetu walitumika tu kama scapegoat na ndio maana anawatetea. There are key figures behind the EPA scandal who really need to be dealt sio hawa waliokuja kutumika dakika za mwisho kutawanya tu hizo hela!......
Namheshimu sana sana Marando lakini anapofanya unafiki ni bora tuseme ili asije akawa mfano mbaya kwa vijana wasiomjua nao wakafuata unafiki wake...akibisha nitakuja na scan ya mawasiliano yake na Jeetu Patel hapa.. Tunaweza kumwamini huyu?
........
sasa kwani uongo ya kwamba wao wanategemea tunguri??
Kwa hoja zile wewe utaka kudiscuss nini na mtu kama huyo??.......
Nadhani Marando mwenyewe alishawahi kusema kuwa kina Jeetu walitumika tu kama scapegoat na ndio maana anawatetea. There are key figures behind the EPA scandal who really need to be dealt sio hawa waliokuja kutumika dakika za mwisho kutawanya tu hizo hela!......
Hata mimi nimeshangazwa... Inawezekana hajui anachokiongea...
DSN,
Swala la Mzee wanguMarando kuwa mtetezi wa watuhumiwa wa EPA Mahakamani na huku jukwaani akiwaita mafisadi LINAHITAJI USHAHIDI?......
Unafiki upo hapo
Jasusi. Tena ni dhahiri kabisa. Na kisiasa it's a bad look.
Na mimi kama mpiga kura nina haki kabisa ya kutumia sababu hiyo kumuona
yeye ni mnafiki na asiyestahili kura yangu. Utapingaje ufisadi kwenye
majukwaa ya kisiasa halafu mahakamani ugeuke na kuwa mtetezi wa hao hao
watu unaowachana kwenye majukwaa ya kisiasa? It's stupid.
Na mfano wako wa daktari na dadaye hata haulingani na unafiki wa
Marando.
DSN,
Swala la Mzee wanguMarando kuwa mtetezi wa watuhumiwa wa EPA Mahakamani na huku jukwaani akiwaita mafisadi LINAHITAJI USHAHIDI?